kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,610
- 6,641
Sahihi kabisa nadhani angekua amekulia Tabora au kwingineko kwenye Koboko wengi angeshasema nimeng'atwa, sasa UK wanaona nyoka kwa TV,,, huyo nyoka hatari sana asee.Huyu kijana hakujua kama kagongwa alidhani koboko kamchubua kidogo tu.baada ya muda kidogo akaanza kulalamika haoni vizuri na akaanguka na kufa.