hivi tanzania tuna wanasayansi?Wanasansi wanatuchanganya sasa, walisema dona ni bora kwa afya tukaacha kukoboa, leo wanasema tuwe nakoboa which is which
hivi tanzania tuna wanasayansi?Wanasansi wanatuchanganya sasa, walisema dona ni bora kwa afya tukaacha kukoboa, leo wanasema tuwe nakoboa which is which
You may not be safe. Sumu inayoongelewa hapa hautokani na dawa za kuhifadhia wala za shambani. Ni aflatoxins. Hii inatokana na fungal growth kwenye mahindi yako. Inaweza tokea shambani, unapoanika, unapohifadhi mahindi/unga etcMi nakula dona ya mahindi niliyolima mwenyewe na nililima bila kuweka dawa wala sitii dawa kuyahifadhi
sembeHivi katika aina mbili za unga wa Mahindi ni upi ulikobolewa kati ya Sembe na Dona?
Yani watu watowe virutubisho asilia kwenye mahindi halafu wao waje wapachike maradhi yao kama walivyopandikiza ukimwi?
I don't buy this story.
Mkuu Matola Mbwa wangu wawili German shepherd walikufa mwezi uliopita daktari aliyekuwa akiwatibu aliniambia sababu ya kufa ni sumu iliyoko kwenye mahindi ambayo madhara yake kwa binadamu yanachukua muda mrefu.Mahindi yana sumu ni kweli kabisa kabla ya kusaga mahindi ni vyema ukayaosha na kuanika ili kuondoa athari zake kiafya.