Kobe Alex mwenye miaka 200 yupo Arusha School

Kobe Alex mwenye miaka 200 yupo Arusha School

Kuna mti una miaka 700 upo tanzania, sikumbuki sehemu.
Kuna kobe yupo zanzibar ana miaka 500. Nimemsahau pia.

Mkuu kukuamini inakuwa ngumu kwasababu kila kitu haukumbuki!!,Ina maana hata Mkoa/Wilaya haukmbuki?.
 
Kuna mti una miaka 700 upo tanzania, sikumbuki sehemu.
Kuna kobe yupo zanzibar ana miaka 500. Nimemsahau pia.

Kobe waliopo zanzibar wenye umri mkubwa kabisa ni wanne ambao wana miaka 120, 150 wawili na mmoja 180 +huyo wa mwisho ndiye aliyewazaa hao wengine .ni aina ya kobe wa kubwa walioingizwa hapa visiwani kutokea galapagos kama zawadi kwa sultani na kwa sasa hapa zanzibar kuna kama kobe mia wa aina hii wakiwa na age tofauti wakitunzwa katka prison island.
Mkuu naomba nielekeze alipo huyo wa miaka 500 nikamwone .
 
Cjasoma pale lkn miaka ya 96 tukiwa machaalii tulikuwa tunakwenda pale kwa kuruka fanse nakuingia kulee bwawan kuogeleaa na kwenda kubembeaa wakat huo Kobe anakuwepo tunamkalia juu kama kagar tulikuwa wadogo mlinz akija ni tunatoka nduki ajabuu. Ukishikwa adhabu ilikuwa kuokota uchafu shule nzimaa na uwanja wote
 
Ulikuwepo siku anazaliwa na siku ya jubilee yake ya miaka 100:what:
 
I love Sir Alex,around 1990,s tukiwa wadogo tulipenda kwenda kuokota nuts pale Arusha school na Alex alituvutia saana koz sikuwahi kuona kobe before,by then Arusha school ilikuwa shule ya gharama saana kulingana na maelezo ya wazazi.
 
Ni vigezo gani vimetumika kutuaminisha kwamba ndiye kobe mwenye umri mrefu ili hali sehemu kama Ukerewe kuna kobe wengi maporini na kwingineko nchini??!!!! Na wana miaka mingi zaidi. Hiki ni kiini macho
 
Huyo nilikua nampanda kama farasi ila nimemuona juzi miguu na kichwa havirudi ndani na ule uwanja anamaliza kuukatisha kwa matembezi ya week nzima.
 
Back
Top Bottom