StaffordKibona
JF-Expert Member
- Apr 21, 2008
- 669
- 57
Enheee! kombe gani wamechukuwa?
Na jana kachukua mbili kwa SINIA
Enheee! kombe gani wamechukuwa?
mpira Magoli na vikombe, kichapo cha jana walichochapwa na Chelsea 2-0 ni somo kubwa mno
hiyo kilabu inayotandaza soka lenye kusisimua je imewahi kubeba champions league mara ngapi?
Au ndo uhuru wa kuongea basi hata uharo mna bwabwaja tu?
duh kaka basi mbona unaua sana wewe lol teh teh tehwanaojuwa soka hawaangali utandazaji wa soka.
Wanaangalia vikombe na ngao kabatini ziko ngapi?
Na ndo maana wachezaji wenye utiamamu wa akili wote wamewakimbia na mmebaki na hao hao kina Bendtner, Diaby na konokono wengine
we ni kilaza kweli jibu swali.hakuna aliyeuliza ni klabu gani yenye makombe mengi uk ni ipi .na je ukiulizwa ni klabu gani yenye mpira wa nguvu utauliza makombe?