Klabu za Premier League zaonywa kuhusu Wadukuzi kuvamia mifumo ya usajili

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Imebainika kuwa Klabu za England zinalengwa na wadukuzi, ambao wanatuma ankara za ulaghai kuhusu uhamisho wa wachezaji wa nje ya Nchi hiyo.

Suala hilo ni zito, Chama cha Soka Cha England (FA) kimetuma onyo kwa Klabu na kuzitaka kupitia barua pepe zao za usalama na kuzitaka idara zao za fedha kuripoti maombi yoyote wanayoamini ni ya uwongo kwao wenyewe na kwa mamlaka husika.

FA imebainisha kuwa kuna ongezeko la ripoti za barua pepe zilizoigwa au zilizodukuliwa...hasa zinazohusiana na malipo kwa klabu za nje.

Vilabu vimeambiwa kuthibitisha maelezo ya akaunti kabla ya kuagiza FA kufanya malipo na kuangalia mfumo wa FIFA ili kuhakikisha taarifa ni halali.

######

Premier League clubs are being warned by the FA over hackers' transfer scam..

English clubs are being targeted by hackers, who are sending fraudulent invoices around the transfers of overseas players.

The issue is so serious, the FA have sent out a warning to clubs urging them to review their email security and to raise the alarm with their financial departments. The FA are also urging sides to report any requests they believe to be fake to themselves and relevant authorities.

The FA say they have ‘seen an increase in reports of cloned or hacked emails...in particular related to payments to overseas clubs’.


Clubs have been told to confirm account details before instructing the FA to make payments and to check FIFA’s system to ensure information is legitimate.

Payments to overseas clubs are made via an FA clearing system, hence their involvement. Clubs have also been told to be wary if a bank account is in a different territory to where the club is based and to pay attention to email addresses for differences.
 
Back
Top Bottom