AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 181
Kikombe kimoja cha babu wa Samunge maarufu kama KKKT(KUNYW KIKOMBE KIMOJA TUU)Kimezua balaa serikalini kwani mpaka sasa serikali imeshindwa kuzuia wingi wa watu wanaomiminika huko Semunge,
Waziri mkuu amesikika akisema watu wasiende huko kwa wiki nzima ilhali mamia ya watu wanaondoka Arusha kila siku kuelekea Semunge
Huku PM au wajina wangu akisema hayo ,Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro amesema watu wawahi Semunge kabla dawa haijaisha
Kazi kweli kweli ,nafikiri JK atoe tamko.
Waziri mkuu amesikika akisema watu wasiende huko kwa wiki nzima ilhali mamia ya watu wanaondoka Arusha kila siku kuelekea Semunge
Huku PM au wajina wangu akisema hayo ,Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro amesema watu wawahi Semunge kabla dawa haijaisha
Kazi kweli kweli ,nafikiri JK atoe tamko.