KKKT-KUNYWA KIKOMBE KIMOJA TUU,yazua balaa Serikalini

AMARIDONG

JF-Expert Member
Jun 24, 2010
2,502
181
Kikombe kimoja cha babu wa Samunge maarufu kama KKKT(KUNYW KIKOMBE KIMOJA TUU)Kimezua balaa serikalini kwani mpaka sasa serikali imeshindwa kuzuia wingi wa watu wanaomiminika huko Semunge,

Waziri mkuu amesikika akisema watu wasiende huko kwa wiki nzima ilhali mamia ya watu wanaondoka Arusha kila siku kuelekea Semunge

Huku PM au wajina wangu akisema hayo ,Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro amesema watu wawahi Semunge kabla dawa haijaisha

Kazi kweli kweli ,nafikiri JK atoe tamko.
 
Kikombe kimoja cha babu wa Samunge maarufu kama KKKT(KUNYW KIKOMBE KIMOJA TUU)Kimezua balaa serikalini kwani mpaka sasa serikali imeshindwa kuzuia wingi wa watu wanaomiminika huko Semunge,

Waziri mkuu amesikika akisema watu wasiende huko kwa wiki nzima ilhali mamia ya watu wanaondoka Arusha kila siku kuelekea Semunge

Huku PM au wajina wangu akisema hayo ,Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro amesema watu wawahinn Semunge kabla dawa haijaisha

Kazi kweli kweli ,nafikiri JK atoe tamko.

Du! Kunaulazima wa kuwahi!!
 
Unasema Kikwete atoe tamko, tamko gani unataka atoe wakati rais wenye kilaza anashindwa kuzungumzia mambo ya taifa ataweza mambo ya Loliondo. Unaongea pumba kiyana
 
Unasema Kikwete atoe tamko, tamko gani unataka atoe wakati rais wenye kilaza anashindwa kuzungumzia mambo ya taifa ataweza mambo ya Loliondo. Unaongea pumba kiyana

MIMI SIO KIYANA WEWE ,MIMI BABAAKO LEO JIONI UMUULIZE MAMAAKO SAWA DOGO,RAISI ANA KAZI GANI SASA KAMA KILA KITU KIMEMSHINDA

hata hili la KKKT haliwezi??
 
Unasema Kikwete atoe tamko, tamko gani unataka atoe wakati rais wenye kilaza anashindwa kuzungumzia mambo ya taifa ataweza mambo ya Loliondo. Unaongea pumba kiyana

Haya ndo maeneo ya kujidai JK sasa,unadhani asipotoa tamko hapa ataweza kutoa wapi?
Yan hata kuvunja chawa ashindwe jamani kweli?

Tusubiri mwisho wa mwezi
 
Kikombe kimoja cha babu wa Samunge maarufu kama KKKT(KUNYW KIKOMBE KIMOJA TUU)Kimezua balaa serikalini kwani mpaka sasa serikali imeshindwa kuzuia wingi wa watu wanaomiminika huko Semunge,

Waziri mkuu amesikika akisema watu wasiende huko kwa wiki nzima ilhali mamia ya watu wanaondoka Arusha kila siku kuelekea Semunge

Huku PM au wajina wangu akisema hayo ,Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro amesema watu wawahi Semunge kabla dawa haijaisha

Kazi kweli kweli ,nafikiri JK atoe tamko.

nadhani wote tunajua dhahiri kuwa Mh. rais si mtu/kiongozi wa matamko, mara zote yeye husubiria impact ndo atolee maelezo...
 
Unasema Kikwete atoe tamko, tamko gani unataka atoe wakati rais wenye kilaza anashindwa kuzungumzia mambo ya taifa ataweza mambo ya Loliondo. Unaongea pumba kiyana

Jamani rais ni mtu mkubwa anayehitaji kuheshimiwa, hata kama kuna uhuru wa kutoa mawazo na kuonyesha hisia, ila nafikiri ni vizuri kuonyesha heshima kwa rais wetu. maneno ya kejeli na kashfa na ya mtaani sio busara kuyatumia tunapomzungumzia rais wetu. (hayo ni mawazo yangu tu samahani sana kama kuna mtu nimemkwaza)
 
Jamani rais ni mtu mkubwa anayehitaji kuheshimiwa, hata kama kuna uhuru wa kutoa mawazo na kuonyesha hisia, ila nafikiri ni vizuri kuonyesha heshima kwa rais wetu. maneno ya kejeli na kashfa na ya mtaani sio busara kuyatumia tunapomzungumzia rais wetu. (hayo ni mawazo yangu tu samahani sana kama kuna mtu nimemkwaza)

Mimi binafsi kama mwanaJF hujanikwaza. Nakuunga mkono. Kuongea kwa uwazi hakuna maana ya kutukana tukana tuuuuuu. Mtandao utakosa heshima. Jamani tutoe mawazo yetu kwa busara siyo kutukana. Jana kulikuwa na thread kuhusu Shigela kumtukana Sumaye, watu wengi waliochangia walionekana kutokubaliana na matamshi ya Shigela dhidi ya Sumaye lakini sisi humu ndani ndio viongozi wa kumtukana Rais. Tuwe na busara vijana wangu. Hata kama humkubali huyo Rais lakini heshima tu ya Kiafrika inatakiwa iwepo, huu mtandao usije kuonekana ni wa kihuni huni tu. Utakosa maana kama kweli malengo yake ni forum ya kuongelea masuala ya kitaifa na kuwa chachu ya kuwakomboa watanzania. Tufikiri.
 
Unasema Kikwete atoe tamko, tamko gani unataka atoe wakati rais wenye kilaza anashindwa kuzungumzia mambo ya taifa ataweza mambo ya Loliondo. Unaongea pumba kiyana

Siungi mkono na kutukanwa kwa raisi hata kidogo.
Msimkosee heshima kiasi hiko ndugu yangu.
 
Hiyo miti inayotoa mizizi ya babu kwa hakika itakwisha huko aliko. - Sijui atalazimika kuhama ili kuendelea kuwanywesha wagonjwa wake?
 
Hiyo miti inayotoa mizizi ya babu kwa hakika itakwisha huko aliko. - Sijui atalazimika kuhama ili kuendelea kuwanywesha wagonjwa wake?

Ipo kwa wingi sana Dodoma na Singida hivyo usihofu. tatizo ni babu tu ndio anaweza kuitengeneza dawa kwa miti hiyo na si mwingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom