mogulnoise
JF-Expert Member
- Oct 28, 2014
- 2,434
- 5,535
Nina uhakika tunatoka jimbo moja ila usharika sina uhakikaTutakaa kijimbo/kiusharika, sina hakika kama tunatoka jimbo moja
Nina uhakika tunatoka jimbo moja ila usharika sina uhakikaTutakaa kijimbo/kiusharika, sina hakika kama tunatoka jimbo moja
AsanteNi katika maadhimisho ya miaka 500 tangu kuanzishwa kwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri. Waumini wote wa kanisa hili katika Dayosisi ya Mashariki na Pwani(DMP),watakusanyika kufanya ibada ya pamoja pale uwanja wa Taifa kuanzia saa 2 asubuhi.
Itakuwa ni ibada ya kipekee ambapo maelfu ya watu wanatarajiwa kuhudhuria ibada hiyo ambayo itahudhuriwa pia na askofu wa DMP Dr. Malasusa.
Tutashuhudia kwaya zenye mamia ya watu wakiimba kwa pamoja kutoka katika kila jimbo.
Wote tukaribie.
Ila wanakera sana! Mda huu natoka hapo azania front kufuatilia matishet ya watoto ea kipaimara, lkn ni kama hawakujianda na hili tukio kabisa! Kiukweli Malasusa inafaa afanye mapinduzi makubwa sana kwenye uongozi wa dayosisiTutakaa kijimbo/kiusharika, sina hakika kama tunatoka jimbo moja
Jimbo ganiNina uhakika tunatoka jimbo moja ila usharika sina uhakika
noted with thanksNi katika maadhimisho ya miaka 500 tangu kuanzishwa kwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri. Waumini wote wa kanisa hili katika Dayosisi ya Mashariki na Pwani(DMP),watakusanyika kufanya ibada ya pamoja pale uwanja wa Taifa kuanzia saa 2 asubuhi.
Itakuwa ni ibada ya kipekee ambapo maelfu ya watu wanatarajiwa kuhudhuria ibada hiyo ambayo itahudhuriwa pia na askofu wa DMP Dr. Malasusa.
Tutashuhudia kwaya zenye mamia ya watu wakiimba kwa pamoja kutoka katika kila jimbo.
Wote tukaribie.
La magharibiJimbo gani
Mrudie Mungu naye atakusamehe. Kiburi cha uzima isikufanye kumkufuru Mungu.Naomba Mungu Magu asihudhurie
Sijakuelewa..Mrudie Mungu naye atakusamehe. Kiburi cha uzima isikufanye kumkufuru Mungu.
Kwani si mzee wa kuvamia shughuli kama hizo za kumpa publicitySio mkutano wa siasa
ni tofauti na languLa magharibi
wengi zaidi ya 90%Siyo wote
Ungetumia tu kiswahili mkuu ingetosha...Am Real Apriciate Makonda Kwa Kweli Yan Namkubali Mpaka Basi Nimeona Kuna Jamaa Kamponda Apo Juu,, Kama Ningekua Na Tuzo Ningempa Makonda Asee