Kwanza Ladha ya KKKT imekufa kabisa..kkkt kwaya zenu zina Tabia ya kupiga playback kanisani majirekebishe jamani Msije kuwa Kama walokole
Hii ne sherehe hivyo kuwepo kwa mgeni rasmi ni sawaIbada inakuwaga na mgeni rasmi?
Tunaomba mlushe live kupitia TVTutakuwa live kupitia redio upendo
Ulinzi na usalama vimeimarishwa?
Naomba Mungu Magu asihudhurie
Naamini utahudhuria ibada sio mbaya tukikaa siti moja siku hiyoMiaka 500 si haba, kuja kuiona tena miaka 500 mingine ni vilembwe vyetu sio sisi tena
Tunaiombea siku hii ikawe siku ya baraka, hali ya hewa iwe rafiki ukizingatia kuna ibada ya kipaimara pia
Naamini utahudhuria ibada sio mbaya tukikaa siti moja siku hiyo
Nipe ratiba vizuri ili kama itakupendekeza nikusindikize!Miaka 500 si haba, kuja kuiona tena miaka 500 mingine ni vilembwe vyetu sio sisi tena
Tunaiombea siku hii ikawe siku ya baraka, hali ya hewa iwe rafiki ukizingatia kuna ibada ya kipaimara pia