KKKT imakinike sana na serikali ya CCM ya sasa hivi

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,916
CCM ni mabingwa wa fitina na majungu, mabingwa wa usanii na vigeugeu wa viwango vyake... Ni mabingwa wabobezi wa kanuni nadharia ya karatasi kaini za kuchambia maarufu kama toilet paper

Wakikutaka kwenye mambo yao watakubeba kwa unyenyekevu na ustaarabu wa aina yake kama toilet paper ilitoka dukani kabla ya matumizi... Wakishakutumia watakukinyaa kama toilet paper iliyokwisha tumika

CCM ni mabingwa wabobezi wa kutumia pesa kila penye udhia.. Hawaogopi kumwaga kiasi chochote na ahadi kemkem za kunjunga zisizotimia...

Kila bingwa hakosi mshindani na kila mbabe hakosi mbabe mwenzake.. Mbabe wa CCM na serikali yake ni ROMAN CATHOLIC! Hili fupa CCM limewashinda kabisa kulitafuna.. Sasa wanaligwaya.. Wanalinyali na kwa namna moja ama nyingine wanaliogopa kabisa

CCM na ubabe wake wote, na mbinu zake zote, na figisu fitina na majungu yake yote imeshindwa kabisa kuipenya ngome ngumu na imara ya RC.. Sasa wana hasira na vinyongo vya chini chini.
Wanajaribu kutabasamu na kutaka kuonesha kila kitu kiko sawa lakini moyo wenye jakamoyo na sononi kamwe haufichiki mbele ya uso unaolazimisha tabasamu

Sasa kwenye kutafuta namna ya kupunguza maumivu na kuonesha kwamba hawajali wameamua kujibananisha na kujipendekeza KKKT kwa kila aina ya mwanya wanaopata!
Kwenye shughuli mbalimbali za KKKT kama harambee nknk .. Sura za juu za CCM zimeonekana mara nyingi zaidi kuliko kweingineko kote!

Naamini KKKT wana ufahamu wa kutosha kwenye hili, lakini isifike mahali wakajisahau wakapumbazika na huu ukaribu unaolazimishwa kwa nguvu zote kati yao na serikali ya CCM...

RC imebaki na misimamo yake imara kwenye mambo muhimu yanayohusu mustakabali wa Tanganyika, hili limekuwa pigo kali sana kwa serikali ya CCM.. Na CCM wanaijua vema nguvu na ushawishi wa RC Tanzania na duniani kote...!!!
Ukaribu unaolazimishwa na serikali ya CCM kwa KKKT ni Ukaribu usio na upako wenye agenda ya siri na wenye nia ovu kuelekea 2025...

KKKT igutuke sasa kama bado! Shetani hana rafiki wala hana adui bali ana maslahi ya kudumu popote...!!!!
IMG-20240121-WA0083.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Benson angekuwa askofu mkuu wa kkkt ccm wasingejipendekeza, bagonza ana misimamo isiyoyumbishwa hangekubali kkkt kuwa kijiwe cha ccm
Picha ya Dr. Nchimbi na Askofu Bagonza imepata headlines nyingi sana kwenye pages za CCM kuliko maeneo mengine yoyote.

Kumbuka leo walikuwepo Maaskofu wote wa KKKT pale Azania Front. Ila Nchimbi alihakikisha amezungumza na Bagonza na picha imewekwa kwa kumbukumbu. Bagonza always amesimamia ukweli na hivyo wasiopenda ukweli wanatamani awe upande wao na wapenda haki wanatamani aongeze kasi ya kalamu kuandika ukweli.

Watu kama Bagonza wanapewa heshima kubwa sana gizani kuliko fitina za kwenye mwanga. Mioyoni mwetu tunatamani tuendelee kama Bagonza ila kimwili tunapingana na nafsi zetu.

Bagonza amekuwa mkosoaji mkubwa wa CCM na sera zake. Hakuna siku tumewahi kuona CCM wakitamani kumweka mezani kwao. Siyo kwa sababu ni mbaya ila kwasababu anasema ukweli mchungu

Ninashauri Mdogo wangu Dr. Bagonza aendelee kuwatibu akili zifike mahali ziwarudi waache njia mbaya warejee kwenye haki.

Anapoona wanamkumbatia achukue taadhari lakini pia amshukuru Mungu kwamba KUMBE WANAMUELEWA KIMOYO

Credit: Resilience

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM ni mabingwa wa fitina na majungu, mabingwa wa usanii na vigeugeu wa viwango vyake... Ni mabingwa wabobezi wa kanuni nadharia ya karatasi kaini za kuchambia maarufu kama toilet paper

Wakikutaka kwenye mambo yao watakubeba kwa unyenyekevu na ustaarabu wa aina yake kama toilet paper ilitoka dukani kabla ya matumizi... Wakishakutumia watakukinyaa kama toilet paper iliyokwisha tumika

CCM ni mabingwa wabobezi wa kutumia pesa kila penye udhia.. Hawaogopi kumwaga kiasi chochote na ahadi kemkem za kunjunga zisizotimia...

Kila bingwa hakosi mshindani na kila mbabe hakosi mbabe mwenzake.. Mbabe wa CCM na serikali yake ni ROMAN CATHOLIC! Hili fupa CCM limewashinda kabisa kulitafuna.. Sasa wanaligwaya.. Wanalinyali na kwa namna moja ama nyingine wanaliogopa kabisa

CCM na ubabe wake wote, na mbinu zake zote, na figisu fitina na majungu yake yote imeshindwa kabisa kuipenya ngome ngumu na imara ya RC.. Sasa wana hasira na vinyongo vya chini chini.
Wanajaribu kutabasamu na kutaka kuonesha kila kitu kiko sawa lakini moyo wenye jakamoyo na sononi kamwe haufichiki mbele ya uso unaolazimisha tabasamu

Sasa kwenye kutafuta namna ya kupunguza maumivu na kuonesha kwamba hawajali wameamua kujibananisha na kujipendekeza KKKT kwa kila aina ya mwanya wanaopata!
Kwenye shughuli mbalimbali za KKKT kama harambee nknk .. Sura za juu za CCM zimeonekana mara nyingi zaidi kuliko kweingineko kote!

Naamini KKKT wana ufahamu wa kutosha kwenye hili, lakini isifike mahali wakajisahau wakapumbazika na huu ukaribu unaolazimishwa kwa nguvu zote kati yao na serikali ya CCM...

RC imebaki na misimamo yake imara kwenye mambo muhimu yanayohusu mustakabali wa Tanganyika, hili limekuwa pigo kali sana kwa serikali ya CCM.. Na CCM wanaijua vema nguvu na ushawishi wa RC Tanzania na duniani kote...!!!
Ukaribu unaolazimishwa na serikali ya CCM kwa KKKT ni Ukaribu usio na upako wenye agenda ya siri na wenye nia ovu kuelekea 2025...

KKKT igutuke sasa kama bado! Shetani hana rafiki wala hana adui bali ana maslahi ya kudumu popote...!!!!View attachment 2878924

Sent using Jamii Forums mobile app
Manatoa sifa za bure na ujinga na hata upuuzi.Hilo kanisa unalosema ni zaidi ya serikali halina ubavu wa kuiyumbisha serikali na wameshaambiwa hivyo.Ni maneno tu ya kujisikia na kujigamba na feeling za superiority complex lakini mbele ya serikali ni ngojera na mashairi tu wanaimba. Wakati wa sakata wa kile walichokiita sakata la DP world walinyanyua videvu vyao juujuu, matamko na nyaraka kibao,hiyo RC iliishia wapi ? DP world itakuwepo na itafanya kazi zake kama kawaida.Kanisa lina heshima yake ,liachane na akina Mwakimbuzi ambao kazi yao ni kutafuta kick ili baadae wajitose kwenye siasa.Tuachana na ushamba Watanzania siyo kusifiasifia tu kwa ajili ya mahaba.Serikali ni story nyingine .
 
CCM ni mabingwa wa fitina na majungu, mabingwa wa usanii na vigeugeu wa viwango vyake... Ni mabingwa wabobezi wa kanuni nadharia ya karatasi kaini za kuchambia maarufu kama toilet paper

Wakikutaka kwenye mambo yao watakubeba kwa unyenyekevu na ustaarabu wa aina yake kama toilet paper ilitoka dukani kabla ya matumizi... Wakishakutumia watakukinyaa kama toilet paper iliyokwisha tumika

CCM ni mabingwa wabobezi wa kutumia pesa kila penye udhia.. Hawaogopi kumwaga kiasi chochote na ahadi kemkem za kunjunga zisizotimia...

Kila bingwa hakosi mshindani na kila mbabe hakosi mbabe mwenzake.. Mbabe wa CCM na serikali yake ni ROMAN CATHOLIC! Hili fupa CCM limewashinda kabisa kulitafuna.. Sasa wanaligwaya.. Wanalinyali na kwa namna moja ama nyingine wanaliogopa kabisa

CCM na ubabe wake wote, na mbinu zake zote, na figisu fitina na majungu yake yote imeshindwa kabisa kuipenya ngome ngumu na imara ya RC.. Sasa wana hasira na vinyongo vya chini chini.
Wanajaribu kutabasamu na kutaka kuonesha kila kitu kiko sawa lakini moyo wenye jakamoyo na sononi kamwe haufichiki mbele ya uso unaolazimisha tabasamu

Sasa kwenye kutafuta namna ya kupunguza maumivu na kuonesha kwamba hawajali wameamua kujibananisha na kujipendekeza KKKT kwa kila aina ya mwanya wanaopata!
Kwenye shughuli mbalimbali za KKKT kama harambee nknk .. Sura za juu za CCM zimeonekana mara nyingi zaidi kuliko kweingineko kote!

Naamini KKKT wana ufahamu wa kutosha kwenye hili, lakini isifike mahali wakajisahau wakapumbazika na huu ukaribu unaolazimishwa kwa nguvu zote kati yao na serikali ya CCM...

RC imebaki na misimamo yake imara kwenye mambo muhimu yanayohusu mustakabali wa Tanganyika, hili limekuwa pigo kali sana kwa serikali ya CCM.. Na CCM wanaijua vema nguvu na ushawishi wa RC Tanzania na duniani kote...!!!
Ukaribu unaolazimishwa na serikali ya CCM kwa KKKT ni Ukaribu usio na upako wenye agenda ya siri na wenye nia ovu kuelekea 2025...

KKKT igutuke sasa kama bado! Shetani hana rafiki wala hana adui bali ana maslahi ya kudumu popote...!!!!View attachment 2878924

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli Mtupu
 
Manatoa sifa za bure na ujinga na hata upuuzi.Hilo kanisa unalosema ni zaidi ya serikali halina ubavu wa kuiyumbisha serikali na wameshaambiwa hivyo.Ni maneno tu ya kujisikia na kujigamba na feeling za superiority complex lakini mbele ya serikali ni ngojera na mashairi tu wanaimba. Wakati wa sakata wa kile walichokiita sakata la DP world walinyanyua videvu vyao juujuu, matamko na nyaraka kibao,hiyo RC iliishia wapi ? DP world itakuwepo na itafanya kazi zake kama kawaida.Kanisa lina heshima yake ,liachane na akina Mwakimbuzi ambao kazi yao ni kutafuta kick ili baadae wajitose kwenye siasa.Tuachana na ushamba Watanzania siyo kusifiasifia tu kwa ajili ya mahaba.Serikali ni story nyingine .
Hata uandike gazeti zima la kuponda haitaondoa ukweli kwamba RC ni above next level.. Take it or leave it.. Huo ndio ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM ni mabingwa wa fitina na majungu, mabingwa wa usanii na vigeugeu wa viwango vyake... Ni mabingwa wabobezi wa kanuni nadharia ya karatasi kaini za kuchambia maarufu kama toilet paper

Wakikutaka kwenye mambo yao watakubeba kwa unyenyekevu na ustaarabu wa aina yake kama toilet paper ilitoka dukani kabla ya matumizi... Wakishakutumia watakukinyaa kama toilet paper iliyokwisha tumika

CCM ni mabingwa wabobezi wa kutumia pesa kila penye udhia.. Hawaogopi kumwaga kiasi chochote na ahadi kemkem za kunjunga zisizotimia...

Kila bingwa hakosi mshindani na kila mbabe hakosi mbabe mwenzake.. Mbabe wa CCM na serikali yake ni ROMAN CATHOLIC! Hili fupa CCM limewashinda kabisa kulitafuna.. Sasa wanaligwaya.. Wanalinyali na kwa namna moja ama nyingine wanaliogopa kabisa

CCM na ubabe wake wote, na mbinu zake zote, na figisu fitina na majungu yake yote imeshindwa kabisa kuipenya ngome ngumu na imara ya RC.. Sasa wana hasira na vinyongo vya chini chini.
Wanajaribu kutabasamu na kutaka kuonesha kila kitu kiko sawa lakini moyo wenye jakamoyo na sononi kamwe haufichiki mbele ya uso unaolazimisha tabasamu

Sasa kwenye kutafuta namna ya kupunguza maumivu na kuonesha kwamba hawajali wameamua kujibananisha na kujipendekeza KKKT kwa kila aina ya mwanya wanaopata!
Kwenye shughuli mbalimbali za KKKT kama harambee nknk .. Sura za juu za CCM zimeonekana mara nyingi zaidi kuliko kweingineko kote!

Naamini KKKT wana ufahamu wa kutosha kwenye hili, lakini isifike mahali wakajisahau wakapumbazika na huu ukaribu unaolazimishwa kwa nguvu zote kati yao na serikali ya CCM...

RC imebaki na misimamo yake imara kwenye mambo muhimu yanayohusu mustakabali wa Tanganyika, hili limekuwa pigo kali sana kwa serikali ya CCM.. Na CCM wanaijua vema nguvu na ushawishi wa RC Tanzania na duniani kote...!!!
Ukaribu unaolazimishwa na serikali ya CCM kwa KKKT ni Ukaribu usio na upako wenye agenda ya siri na wenye nia ovu kuelekea 2025...

KKKT igutuke sasa kama bado! Shetani hana rafiki wala hana adui bali ana maslahi ya kudumu popote...!!!!View attachment 2878924

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu wewe mkongwe ila ningekugonga bonge la dislike. Nyie wachaga mna akili za ajabu sana. Hivi enzi zile za Dkt Shoo wakati ana mdhihaki Dkt Magufuli mpaka kwenye umauti wake mliwahi sikia sisi CCM tunajitokeza kumbeza Dkt Shoo????
 
Kwa sababu wewe mkongwe ila ningekugonga bonge la dislike. Nyie wachaga mna akili za ajabu sana. Hivi enzi zile za Dkt Shoo wakati ana mdhihaki Dkt Magufuli mpaka kwenye umauti wake mliwahi sikia sisi CCM tunajitokeza kumbeza Dkt Shoo????
Mimi sio Mchaga lakini... Labda kama tu hujui makabila ya Tanzania na asili zake! Swala la kunigonga dislike lingethibitisha kiwango kidogo cha uvumilivu kwenye kutofautiana mitazamo, kitu ambacho najua wewe huna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM ni mabingwa wa fitina na majungu, mabingwa wa usanii na vigeugeu wa viwango vyake... Ni mabingwa wabobezi wa kanuni nadharia ya karatasi kaini za kuchambia maarufu kama toilet paper

Wakikutaka kwenye mambo yao watakubeba kwa unyenyekevu na ustaarabu wa aina yake kama toilet paper ilitoka dukani kabla ya matumizi... Wakishakutumia watakukinyaa kama toilet paper iliyokwisha tumika

CCM ni mabingwa wabobezi wa kutumia pesa kila penye udhia.. Hawaogopi kumwaga kiasi chochote na ahadi kemkem za kunjunga zisizotimia...

Kila bingwa hakosi mshindani na kila mbabe hakosi mbabe mwenzake.. Mbabe wa CCM na serikali yake ni ROMAN CATHOLIC! Hili fupa CCM limewashinda kabisa kulitafuna.. Sasa wanaligwaya.. Wanalinyali na kwa namna moja ama nyingine wanaliogopa kabisa

CCM na ubabe wake wote, na mbinu zake zote, na figisu fitina na majungu yake yote imeshindwa kabisa kuipenya ngome ngumu na imara ya RC.. Sasa wana hasira na vinyongo vya chini chini.
Wanajaribu kutabasamu na kutaka kuonesha kila kitu kiko sawa lakini moyo wenye jakamoyo na sononi kamwe haufichiki mbele ya uso unaolazimisha tabasamu

Sasa kwenye kutafuta namna ya kupunguza maumivu na kuonesha kwamba hawajali wameamua kujibananisha na kujipendekeza KKKT kwa kila aina ya mwanya wanaopata!
Kwenye shughuli mbalimbali za KKKT kama harambee nknk .. Sura za juu za CCM zimeonekana mara nyingi zaidi kuliko kweingineko kote!

Naamini KKKT wana ufahamu wa kutosha kwenye hili, lakini isifike mahali wakajisahau wakapumbazika na huu ukaribu unaolazimishwa kwa nguvu zote kati yao na serikali ya CCM...

RC imebaki na misimamo yake imara kwenye mambo muhimu yanayohusu mustakabali wa Tanganyika, hili limekuwa pigo kali sana kwa serikali ya CCM.. Na CCM wanaijua vema nguvu na ushawishi wa RC Tanzania na duniani kote...!!!
Ukaribu unaolazimishwa na serikali ya CCM kwa KKKT ni Ukaribu usio na upako wenye agenda ya siri na wenye nia ovu kuelekea 2025...

KKKT igutuke sasa kama bado! Shetani hana rafiki wala hana adui bali ana maslahi ya kudumu popote...!!!!View attachment 2878924

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ulioutapakaza hapa ni uharo tu, utakunukia mwenyewe.

Siasa ni kama biashara yoyote ile, haina rafiki wala adui wa kudumu.
 
CCM ni mabingwa wa fitina na majungu, mabingwa wa usanii na vigeugeu wa viwango vyake... Ni mabingwa wabobezi wa kanuni nadharia ya karatasi kaini za kuchambia maarufu kama toilet paper

Wakikutaka kwenye mambo yao watakubeba kwa unyenyekevu na ustaarabu wa aina yake kama toilet paper ilitoka dukani kabla ya matumizi... Wakishakutumia watakukinyaa kama toilet paper iliyokwisha tumika

CCM ni mabingwa wabobezi wa kutumia pesa kila penye udhia.. Hawaogopi kumwaga kiasi chochote na ahadi kemkem za kunjunga zisizotimia...

Kila bingwa hakosi mshindani na kila mbabe hakosi mbabe mwenzake.. Mbabe wa CCM na serikali yake ni ROMAN CATHOLIC! Hili fupa CCM limewashinda kabisa kulitafuna.. Sasa wanaligwaya.. Wanalinyali na kwa namna moja ama nyingine wanaliogopa kabisa

CCM na ubabe wake wote, na mbinu zake zote, na figisu fitina na majungu yake yote imeshindwa kabisa kuipenya ngome ngumu na imara ya RC.. Sasa wana hasira na vinyongo vya chini chini.
Wanajaribu kutabasamu na kutaka kuonesha kila kitu kiko sawa lakini moyo wenye jakamoyo na sononi kamwe haufichiki mbele ya uso unaolazimisha tabasamu

Sasa kwenye kutafuta namna ya kupunguza maumivu na kuonesha kwamba hawajali wameamua kujibananisha na kujipendekeza KKKT kwa kila aina ya mwanya wanaopata!
Kwenye shughuli mbalimbali za KKKT kama harambee nknk .. Sura za juu za CCM zimeonekana mara nyingi zaidi kuliko kweingineko kote!

Naamini KKKT wana ufahamu wa kutosha kwenye hili, lakini isifike mahali wakajisahau wakapumbazika na huu ukaribu unaolazimishwa kwa nguvu zote kati yao na serikali ya CCM...

RC imebaki na misimamo yake imara kwenye mambo muhimu yanayohusu mustakabali wa Tanganyika, hili limekuwa pigo kali sana kwa serikali ya CCM.. Na CCM wanaijua vema nguvu na ushawishi wa RC Tanzania na duniani kote...!!!
Ukaribu unaolazimishwa na serikali ya CCM kwa KKKT ni Ukaribu usio na upako wenye agenda ya siri na wenye nia ovu kuelekea 2025...

KKKT igutuke sasa kama bado! Shetani hana rafiki wala hana adui bali ana maslahi ya kudumu popote...!!!!View attachment 2878924

Sent using Jamii Forums mobile app
Kanisa Katoliki linaendeshwa toka makao makuu ya Vatikani tofauti na kanisa la KKT linaloongozwa kijimbo yaani kila nchi inajiendesha kivyakevyake.
 
Back
Top Bottom