Kizuri kula na wenzio

Kizuri kula na wenzio

Wallahi hili ni zali la watu wa dar maana plate number ya KASINDE itaonekana mitaani.Sisi wa huku bush madongo kuliwa na mchwa plate number ya dizaini hiyo tutaifuma wapi?

Kwa sisi wa bush ungetufanyia favour kidogo kwa kututumia angalau buku ya vocha.Hapo ningekuaminia Kasinde kwamba huli ukawanyima mabest zako.

Jiandae kukabiliana na kundi la vijana na smartphone zao wakizingira gari yako kutafuta dolari.
HAPPY CHRISTMAS!!
 
Last edited by a moderator:
Sawa tajiri mtoto

attachment.php
 
basi tufanye ni USIMBE...hivyo kutoa ni moyo USIMBE si utajiri

Usahihi wa methali hiyo ni: KUTOA NI MOYO USAMBE NI UTAJIRI.

Maelezo yake ambayo kiuhalisia utata upo kwenye neno 'USAMBE' ni hivi;

Usambe imetumika kama kifupisho cha neno usi - ambe yaani usiseme. Hivyo tukiiandika hii methali kwa maneno tuliyozoea kutumia itakuwa;

KUTOA NI MOYO USISEME NI UTAJIRI.

Cc: Evelyn Salt

#nawasilisha
 
Last edited by a moderator:
mhhh nauliza tu usinichambe Kasie mie rafiki yako.

Ni gari yako ya kwanzaaeeeeee
 
Kizuri ni mume sasa utakula na wenzakoo?au mke?huwezi
Pesa sabuni ya roho ndo inayoushikilia moyo wa mtu na kubadili tabia ya mtu. Mapenzi unafiki tuu....
Watu wana cheat ila hela ukiitafuta haiku cheat...
 

Usahihi wa methali hiyo ni: KUTOA NI MOYO USAMBE NI UTAJIRI.

Maelezo yake ambayo kiuhalisia utata upo kwenye neno 'USAMBE' ni hivi;

Usambe imetumika kama kifupisho cha neno usi - ambe yaani usiseme. Hivyo tukiiandika hii methali kwa maneno tuliyozoea kutumia itakuwa;

KUTOA NI MOYO USISEME NI UTAJIRI.

Cc: Evelyn Salt

#nawasilisha

Ahsante kwa kuokoa jahazi
 
Last edited by a moderator:
Nimepishana nayo hiyo Jeep Ina tag imeandikwa Kasinde. Sikuwa na Camera tu wallahi ningekuwa nimelamba Dolari sasa hivi.
 
The ride!
Naisaka nikiwa kamera tatu.
 
Back
Top Bottom