mzee tupatupa kidogo unanichanganya; najua ccm ina kamati yake ya uchaguzi na ndiyo iliyoshiriki kuandaa vifaa vya uchaguzi na kuhitimisha kazi yake kwa kusimamia na kuhesabu kura. sasa hao usalama wa taifa wanaingiaje hapo? au tume ya uchaguzi ndani ya ccm inaundwa na idara ya usalama wa taifa? nyinyi wajumbe wa mkutano mkuu wa ccm mnaruhusu vipi watu wasiokuwa wajumbe wa chama chenu kushiriki mkutano wenu unless you tell me kuwa baadhi ya maafisa usalama wa taifa ni wajumbe wa mkutano mkuu wa ccm.