Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,435
- 1,967
Wana saikologia hebu tuelezeni hapa maana kuna wanaodhani ma engineer na madaktari hawakuwa na hisia tangu udoo wao!Halatu tutegemee ma-engineer na ma-daktari.
Wana saikologia hebu tuelezeni hapa maana kuna wanaodhani ma engineer na madaktari hawakuwa na hisia tangu udoo wao!Halatu tutegemee ma-engineer na ma-daktari.
Ha ha Iceman I like that!Ila story yako nimeipenda, nilivo kuwa forn 3 kuna mwalim wa hesabu nilikuwa naingia class kumchek tu, then naridhika narud hom kulala. Ila skuwahi jihesab kama nilimpenda. But she was cute.
The problem is how to balance between your priorities and your desires.Wana saikologia hebu tuelezeni hapa maana kuna wanaodhani ma engineer na madaktari hawakuwa na hisia tangu udoo wao!
HahahahaWana saikologia hebu tuelezeni hapa maana kuna wanaodhani ma engineer na madaktari hawakuwa na hisia tangu udoo wao!
Sidhani kama kupenda ni ubaya labda kendekeza huko kupenda na kujiingiza hovyo kwenye kupenda ndio kubaya Iceman.Hahahaha
Wewe mtoto anaye mpenda mwalim wa hesabu, hamna kitu apo, hata akiwa injinia ataishia kuwa kama hawa tulio nao.
HahahaaSidhani kama kupenda ni ubaya labda kendekeza huko kupenda na kujiingiza hovyo kwenye kupenda ndio kubaya Iceman.
Niliona ni sawa kwani hata mimi na wewe tumewahi kupenda kwenye umri huohuo ni nature mbona tuko mbali tu kimaisha. Shida ni kutumia vibaya huo upendo! ha ha ha! Naona naweza andika kitabu hapa!Hahahaa
Kwa hiyo wewe hata wakat huo uliona dogo ako sawa tu.
Mi naona huyo kijana na hawa kina hadija ni moja ya shda za baadaye hapa nchini.
HahahahaNiliona ni sawa kwani hata mimi na wewe tumewahi kupenda kwenye umri huohuo ni nature mbona tuko mbali tu kimaisha. Shida ni kutumia vibaya huo upendo! ha ha ha! Naona naweza andika kitabu hapa!
Kuna mwanafunzi aliitwa Rogers, kwakweli nilipenda kumuona tu, na siku nikisikia hakuja shule alikua mgonjwa niliumia, lakini sikujua kuwa yale yalikuwa mapenzi. Pia sikutaka Rogers aone nimefeli.Hahahaha
True toka jana nilikuwa nasema au nikupe deal uandike kitabu.
Inabid tupate muda unipe story mwanzo mwisho.
Mi nilipo kuwa mdogo sikuwa hivo thats weird for a kid.
Teh tehKuna mwanafunzi aliitwa Rogers, kwakweli nilipenda kumuona tu, na siku nikisikia hakuja shule alikua mgonjwa niliumia, lakini sikujua kuwa yale yalikuwa mapenzi. Pia sikutaka Rogers aone nimefeli.
La tano mpaka la saba, lakini sikuwahi hata kumwambia.Teh teh
Ilikuwa daras la ngap hilo!!?
HahahaaLa tano mpaka la saba, lakini sikuwahi hata kumwambia.
Kweli kabisa inatokea. Mi nursery school tulikuwa tunasoma na mtoto wa Mkuu fulani wa Mkoa ( tena maarufu tu) sina hakika km. nilikuwa namu-admire au nampenda. Darasa la kwanza hivyo hivyo. La nne tena mtoto wa mwalimu mkuu, yeye ndio tulikuwa tunapenda kucheza wote wakati wa break . La saba hivyohivyo tena alihamia shuleni kwetu ( shule moja DSM) walikuwa wakimtania mimi nachukia kweli- ha ha ha sijui yuko wapi?. Ila wakati wa utoto ni kupenda tu kama utakavyopatana na mtoto wa jinsia nyingine.Kuna mwanafunzi aliitwa Rogers, kwakweli nilipenda kumuona tu, na siku nikisikia hakuja shule alikua mgonjwa niliumia, lakini sikujua kuwa yale yalikuwa mapenzi. Pia sikutaka Rogers aone nimefeli.
Hizo zinatokea mkuu,wazungu wanaita crushHahaha
Mi nikiwa mtoto nilikuwa na innocent love lakin kwa watt wenzangu.
Yaan hakuna Assymetrical relations hapo, mwalim kosmas ni mkubwa mnoo.
Ila mimi kuna dogo flan niliwahi kumiandikia barua, dingi akaikamataKweli kabisa inatokea. Mi nursery school tulikuwa tunasoma na mtoto wa Mkuu fulani wa Mkoa ( tena maarufu tu) sina hakika km. nilikuwa namu-admire au nampenda. Darasa la kwanza hivyo hivyo. La nne tena mtoto wa mwalimu mkuu, yeye ndio tulikuwa tunapenda kucheza wote wakati wa break . La saba hivyohivyo tena alihamia shuleni kwetu ( shule moja DSM) walikuwa wakimtania mimi nachukia kweli- ha ha ha sijui yuko wapi?. Ila wakati wa utoto ni kupenda tu kama utakavyopatana na mtoto wa jinsia nyingine.

Jamani! Oh yeah wazazi wanaprotect watoto wao angalau kupata uoga fulani!Ila mimi kuna dogo flan niliwahi kumiandikia barua, dingi akaikamata
Nakumbuka nililala juu ya mti usiku mzima
Halafu skwenda shule kama sku 2,hivi
Aaah kufika shule story hadi walim wana ijua
![]()