Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,412
- 26,892
Sijui bongo tunatengeneza kizazi cha ina gani. ?
Hii mikamari ya bonanza ni janga na wahusika wameshafeli kuidhibiti. (huu ni upuuzi)
Haya madubwashwa yanawekwa wekwa tu kama maandazi bila udhibiti wowote. Watoto wanayachezea haya madubwasha na wahusika wapo kimyaaaa. Sijui pesa wanatoa wapi? Tunaunda kizazi cha dokoa dokoa bila kujua.
Wachezeshaji na wachina wanasaka faida tu bila kuzingatia vitu vingine (upuuzi mtupu)
***** mchina.
Huyu kashapata cheji kaunta anapambana na mchina
Huyu anaomba chenji kaunta
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mikamari ya bonanza ni janga na wahusika wameshafeli kuidhibiti. (huu ni upuuzi)
Haya madubwashwa yanawekwa wekwa tu kama maandazi bila udhibiti wowote. Watoto wanayachezea haya madubwasha na wahusika wapo kimyaaaa. Sijui pesa wanatoa wapi? Tunaunda kizazi cha dokoa dokoa bila kujua.
Wachezeshaji na wachina wanasaka faida tu bila kuzingatia vitu vingine (upuuzi mtupu)
***** mchina.
Huyu kashapata cheji kaunta anapambana na mchina
Huyu anaomba chenji kaunta
Sent using Jamii Forums mobile app