GE2010 Kiyabo "arejea" CCM

Richard Kiyabo,
Mkuu wangu kama Mpendazoe ni kaka yako basi wee huna hata aibu na ustaarabu kwani kutoa siri za nyumba ya ndugu yako inatisha sana. Na mbona hukuzungumza kwamba uliwahi kumsalandia pia mkewe Mpendazoe? Au unataka vijana wa mjini tukutoe uchi na ufuska wako!
 
Kweli nimeamini ya wahenga "mwana mwenye hekima ustili aibu ya Babaye, lakini mwana mpumbavu ufunua utupu wa mamaye" .Kiyabo huyu huyu ambaea alikuwa mwenyekiti CCJ, akahamia CHADEMA kwa mbwembwe baadae akakimbilia NRA kwa vifijo mwishowe akarudi CCM kwa kishindo (mambo haya yote ndani ya miezi isiyozidi tisa) Leo hii anasema nduyeye Mpendazoe afai hata ujumbe wa nyumba kumi! kweli kua uyaone. cha kujiuliza hapa wakati wanaanzisha CCJ na kumpokea Mpendazoe hakujua kuwa katelekeza familia? je wakati wanaenda wote CHADEMA hakujua kuwa kaka yake afai kuwa mwenyekiti wa tawi? Je wakati wanachaguliwa kuwa Mbunge wa CCM alishindwa kuwaambia WASUKUMA wenzake wa Jimbo la KISHAPU kuwa kaka yake hafai. Huyu kiyabo nadhani ni mtoto wa nje ya ndoa kifupi ni mwanaharamu mtu mwenye maadili awezi kuonyesha utupu wa kakaye hadharani ili tu ashindwe UBUNGE. Shame on u KIYABO ustahili hata kuwa kiongozi wa familia, hata mke uliyemuoa kala hasara wanao hafazali wangekuwa yatima kuliko kuwa na baba kama wewe. HASARA TUPU. Ngoja kampeni ziishe ndipo utakapojua CCM sio watu ndugu yangu utaona kwa macho yako JK na RIDHIWAN wake na MAKAMBA na JANUARY wake wakati wewe na Mpendazoe wako amtazamani usoni
 
aibu tupu! Unaombaje uongozi wa jamii, ilhali nyumba yako inakushinda kuongoza?

kiyabo mwinie huyooooo, dah yaani kweli ccm imeoza na imeishiwa. Yaani hata mtoto mdogo anajua kuwa kiabo ni taahira. Ushabiki mwingine ni wa kijinga na kujidhalilisha mbele za watu, hata kama wewe ni cccm damu but iweje uje kuamini kwa 100% maneno ya kiyabo wakati wamjua fika kuwa hana akili nzuri? Unabahati sana nimeogopa tu kukwambia kuwa uwezo wako wa kufikiri ni sawa na zero.
 
Tatizo siyo Kiyabo na CCM wake bali njaa za walio ndani ya CCM
Kiyabo amedhihirisha kwamba siyo tu hawezi kutunza familia lakini yupo tayari kusaliti familia kwa vijisent vichache. Kama anasema mpendazoe hafai uongozi, mbona alikuwa mbunge aliyeakilisha vyema watu wake na akajipambanua bungeni kuwa yupo mstari mnyoofu? Mbona CCM walikuwa na mkakati wa kumfukuza kabla hajawastukia?

Ushindi wa kishidno wa CCM utatokana na LAZIMA TUSHINDE yao
 
..Kumbe anavyosema alimsaidia mke wa mpendazoe alikuwa anamsaidia ktk majamboz?
kijana HANA ADAB KABISA YULE
 
Nafikiri Kiyabo ndo hana uwezo wa kuongoza maana angekuwa nao, CCJ isingemfia mikononi mwake.
Aisee. naona unapiga madochi ya uso mkuu.
Tukubali alitumwa na ccm kuanzisha ccj kupima joto la siasa za mabadiliko
 
Hivi Makongoro anawatunza wale watoto aliozaa na mabaa meidikadhaa kwenye maeneo ya Ubungo, Mwenge na Sinza kati ya mwaka 1994 na 1996?
 
Kama yeye Mpendazoe ni ndugu yake wa kunyonya kwa nini hayo mambo ya kifamilia Kinabo anayapeleka kwenye kampeni. Ndiyo yaleyale ya vyumbani mnaleta kwenye majukwaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…