Junius
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 3,181
- 139
Huyu hata hajanunuliwa kenda mwenyewe bure...mwanamme mzima unakuwa kama shoga vile unaturembulia vidume marijali, eti umekabwa ukifa tusikutafute kaburini bali kwenye mioyo ya watanzania kumbe fisadi mnafiki tumeshajuwa pakukutafuta kwa hao vibaraka wako waliokutuma uipotezee CCJ, shenz type...!