EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
nasikia watu walikuwa wanashangilia ....RAIS!! RAIS! RAIS..kila alipokatiza Zitto!!
Heee Washamsahau Sugu tena?
nasikia watu walikuwa wanashangilia ....RAIS!! RAIS! RAIS..kila alipokatiza Zitto!!
Hii nchi mwalimu alisaidia sana, otherwise tungekuwa na marais kila mahali lol!Heee Washamsahau Sugu tena?
mnaona mmesahau kuzungumzia ya Kiwira mmbakia kuzungumzia ya Urais! Ningependa kujua amewaambia nini Kiwira; changamoto za huko ni nini; yaani hata jina la mgombea wa CDM huko Kiwira halipo!!! grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
MMM,
Ndio uone watanzania tunavyoongozwa na ushabiki kuliko masuala ya muhimu kwa maendeleo ya nchi.
Kuna changamoto nyingi sana uko, imagine watoto wa shule wanachangishwa sh 2,500 kila mmoja kwa ajili ya kununua chaki! Wananchi wanaonekana kuielewa CHADEMA Kiwira, kuna voice clip itabidi kufanya mpango wa ku upload. One of the good speeches. Nchi hii haswa maeneo ya vijijini hali bado ni mbaya sana
sasa thats my point; kwa mfano wengi wetu tu likuwa hata hatujui kuwa kuna kugombea udiwani Kiwira. Sasa tungeambiwa mazingira yakoje, CDM imefanya nini? Zitto amefanya nini zaidi ya kuhutubia na katika kuhutubia amewahamasha watu kumchagua nani.. badala yake tunalazimishwa kuzungumzia mambo ya "Urais" ambao unakuja 2015 ambao hadi hivi sasa Zitto hawezi kugombea so in reality tunazungumzia urais wa 2020! Naomba tupe taarifa za huko zikoje, na tathmini yenu ikoje.. haya mengine yatakuja kwa wakati wake.
bila sababu tena khaaa?Acha kuudhi watu mkuu bila sababu...lol
Aliposema sitapiga kampeni Arumeru, watu hawakumuelewa!
Mkuu,Acha kuudhi watu mkuu bila sababu...lol