commited
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 1,626
- 870
like like
kila jambo na wakati wake CDM go go go......Mbeya ni chi raisi ni Sugu....... CCM CHINI CHINI CHINI KABISAAAAAA
like like
nasikia watu walikuwa wanashangilia ....RAIS!! RAIS! RAIS..kila alipokatiza Zitto!!
Hata Tenga wa TFF huwa anashangiliwa hivyo hivyo siku Taifa kubwa likishinda.nasikia watu walikuwa wanashangilia ....RAIS!! RAIS! RAIS..kila alipokatiza Zitto!!
Chadema tunakwenda vizuri lakini tatizo letu litasababishwa na huyu jamaa ndumilakuwili
Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Zitto Kabwe.....!! raha iliyoje kuwa na Rais kijana.
nasikia watu walikuwa wanashangilia ....RAIS!! RAIS! RAIS..kila alipokatiza Zitto!!
Mi nilikuwepo hapo hakuna hatammja aliye tamka vivyo zaidi zitto amemsifia sana slaa kua eti bila ushujaa wa slaa tusinge ijua issue ya BOT.nasikia watu walikuwa wanashangilia ....RAIS!! RAIS! RAIS..kila alipokatiza Zitto!!
Acha kuudhi watu mkuu bila sababu...lol
Yaani hao watu wa kiwila inabidi wawape CCM zero kabisa maana mgodi wa kiwila uko Idle kitambo as a result ata maisha yao yameghafilika kwa kiasi kikubwa.
Mgodi ulikuwa na impact sio tuu kitaifa but Kyela na Rungwe walikuwa wanakula shavu sana apo!
Hata kikwete aliomba urais kwa hoja ya ujana kwani amekufanyia nini mpaka sasa cha maanaRais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Zitto Kabwe.....!! raha iliyoje kuwa na Rais kijana.
Chadema tunakwenda vizuri lakini tatizo letu litasababishwa na huyu jamaa ndumilakuwili