Ahsante sina priority saaana hata kama ni vichocholoni sawa. Wilaya ya kinondoni na ubungo ni first priority ila hata wilaya nyingine ni poooa tu.Ni vyema ungeweka priorities zako za areas, itasaidia kupata kwa wakati na eneo ulilokusudia.
Kumbuka barabara za lami dar siku hizi mpaka vichochoroni zipo mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app