MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 705
Kiwanja kikubwa ambacho kinafaa kwa ujenzi wa nyumba za makazi (takriban zaidi ya 20), chenye ukubwa wa eka (si hekta!) 8, kinauzwa kwenye eneo la Jangwani Beach.
Kiwanja kina uzio wa ukuta wa matofali. Kinafaa kwa ujenzi wa nyumba za makazi ya watu, majengo ya ofisi, kiwanda, shule, na kadhalika.
Kama wewe ni mwekezaji MAKINI, tafadhali piga simu namba 0786-019019.
TUNAWATAKA WAHUSIKA PEKEE. MADALALI/MAWAKALA WA NYUMBA wasipige simu.
Bei ni maelewano.
./Mwana wa Haki
Kwa niaba ya mwenye kiwanja.
Kiwanja kina uzio wa ukuta wa matofali. Kinafaa kwa ujenzi wa nyumba za makazi ya watu, majengo ya ofisi, kiwanda, shule, na kadhalika.
Kama wewe ni mwekezaji MAKINI, tafadhali piga simu namba 0786-019019.
TUNAWATAKA WAHUSIKA PEKEE. MADALALI/MAWAKALA WA NYUMBA wasipige simu.
Bei ni maelewano.
./Mwana wa Haki
Kwa niaba ya mwenye kiwanja.