Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 11,072
- 22,518
Kwanza washanitisha asiehMna uhakika kuna mpasuko mkubwa wa Cancer kanda ya ziwa??
Kwanza washanitisha asiehMna uhakika kuna mpasuko mkubwa wa Cancer kanda ya ziwa??
Wewe unae kula nyama na mimi nikara mboga za majani hunizidi kituHivi wewe unajua faida za nyama mwilini kwa mwanadamu?!
Mungu wabariki WazunguNilishutushwa niliposikia hospital kubwa ya cancer Marekani MD Anderson ambayo ipo Houston Texas inafanya uchunguzi ni kwanini kuna mpasuko mkubwa wa cancer hasa za Tumbo kanda ya ziwa hasa mkoa wa Mara na majirani.
Cha kushangaza ni miaka zaidi ya mitano na sijaona jitihada zozote za serikali kwenye swala hili. Hata ripoti badala ya kuwekwa wazi zimekuwa siri. Kinachotokea ni watu kuendelea kufa kwa wingi. Hata kama hauko asilimia 100% serikali itoe matokeo wazi ya chunguzi tofauti za hili .
Je tatizo ni maji na mazingira ya madini?
Je tatizo ni samaki na ziwa viktoria?
Je tatizo ni hali ya hewa?
Naomba hili lifuatiliwe. Tatizo la waandishi wetu hawafanyi utafiti badala yake wanasubiri ushabiki pekee. Jamani hili swala ni serious sana sana
Zitto
Zitto fuatilia maana Kigoma ni mazingira hayo hayo. Fanya chunguzi hili ni swala legit sana
Hii ni ya 2020
The Lake Victoria zone presented a unique pattern of cancer, with cancer of the liver accounting for the largest proportion (13.7%) of deaths and lymphoma being among the top 5 cancers. Most of the deaths due to Kaposi sarcomas were reported in the southern highlands (14.8%) and southwest (12.8%) zones (Fig
2021
FOR some years now there have been some claims or rather some arguments that associate high cancer prevalence rate in Lake Zone with some chemical substances emanating from mining activities.
In fact, some health service providers have gone an extra mile by giving rough figures on the prevalence of the problem, saying a staggering 40 per cent of cancer patients in Tanzania come from the Lake Victoria Zone regions.
But, latest information from Bugando Medical Centre shows about 60 per cent of cancer patients who are transferred to Ocean Road Cancer Institute in Dar es Salaam are from Lake Zone.
Turudie labda kusema kwamba hii story ya mlipuko wa cancer kanda ya ziwa ni njia iliyozoeleka ya ubeberu kuendelea kuitawala dunia kwa kwa kujifanya wao wana data zote duniani, wana maarifa yote duniani, na wana umuhimu wa kipekee kwa kutoa taarifa ambazo zina maslahi kwa watu wa kawaida wa nchi husika.Nilishutushwa niliposikia hospital kubwa ya cancer Marekani MD Anderson ambayo ipo Houston Texas inafanya uchunguzi ni kwanini kuna mpasuko mkubwa wa cancer hasa za Tumbo kanda ya ziwa hasa mkoa wa Mara na majirani.
Cha kushangaza ni miaka zaidi ya mitano na sijaona jitihada zozote za serikali kwenye swala hili. Hata ripoti badala ya kuwekwa wazi zimekuwa siri. Kinachotokea ni watu kuendelea kufa kwa wingi. Hata kama hauko asilimia 100% serikali itoe matokeo wazi ya chunguzi tofauti za hili .
Je tatizo ni maji na mazingira ya madini?
Je tatizo ni samaki na ziwa viktoria?
Je tatizo ni hali ya hewa?
Naomba hili lifuatiliwe. Tatizo la waandishi wetu hawafanyi utafiti badala yake wanasubiri ushabiki pekee. Jamani hili swala ni serious sana sana
Zitto
Zitto fuatilia maana Kigoma ni mazingira hayo hayo. Fanya chunguzi hili ni swala legit sana
Hii ni ya 2020
The Lake Victoria zone presented a unique pattern of cancer, with cancer of the liver accounting for the largest proportion (13.7%) of deaths and lymphoma being among the top 5 cancers. Most of the deaths due to Kaposi sarcomas were reported in the southern highlands (14.8%) and southwest (12.8%) zones (Fig
2021
FOR some years now there have been some claims or rather some arguments that associate high cancer prevalence rate in Lake Zone with some chemical substances emanating from mining activities.
In fact, some health service providers have gone an extra mile by giving rough figures on the prevalence of the problem, saying a staggering 40 per cent of cancer patients in Tanzania come from the Lake Victoria Zone regions.
But, latest information from Bugando Medical Centre shows about 60 per cent of cancer patients who are transferred to Ocean Road Cancer Institute in Dar es Salaam are from Lake Zone.
Nime fanya utafiti wa kutosha serikali haswa OSHA wafike kwenye migodi ya wachimbaji wadogo watoto wetu wanaangamia kwakushika zebaki with bare hands wakati wa kuchenjua dhahabu iko migodi ya wachimbaji wadogo zaidi ya mia tano kanda ya ziwa wote hawatumii gloves no safety measure hakuna elima inayotolewa kwa madhara ya zebaki na sodium cyanide , wabunge wanachi wanaangamia pazeni sauti bungeni serikali ichukue hatua za haraka ......
Resources is a curse and not blessing.Bob sometimes huwa nawaza watu weusi kwa nini n ss n wa mateso.
Reason kubwa ya cancer katika hiyo mikoa n uwepo wa migodi,
migodi mingi hasa hii midogo midogo inayomilikiwa na wazawa watu wanatumia sana Mercury katika kuextract dhahabu, na bahati mbaya hii kitu inakwenda mpaka kwenye vyanzo vya maji
Mercury ina tendency ya kuwa biomagnified alongside food chain
yani hata samaki wa majini akiwa poisoned na Mercury mtu akimla yule samaki atakua poisoned vile vile.
Migodi imekua balaa badala ya baraka.
Mungu atusaidie.
Turudie labda kusema kwamba hii story ya mlipuko wa cancer kanda ya ziwa ni njia iliyozoeleka ya ubeberu kuendelea kuitawala dunia kwa kwa kujifanya wao wana data zote duniani, wana maarifa yote duniani, na wana umuhimu wa kipekee kwa kutoa taarifa ambazo zina maslahi kwa watu wa kawaida wa nchi husika.
Ndio maana watoto wetu na vizazi vyetu vijavyo tunavifundisha critical thinking. Critical thinking ni uwezo wa kutathmini habari au taarifa, ya kusimuliwa au kuandikwa. Ukiwa na huo uwezo wa critical thinking unaweza kutanabaisha nini ukweli, nini uongo, nini kinaendelea nyuma ya pazia.
Suala la ongezeko la cancer duniani ni suala ambalo hauwezi hata siku moja kulitengea story ya kijiogrofia eti great lakes. Cancer ni ugonjwa ulioongezeka sana duniani kutokana na mambo mengi mtambuka: huko kwa wazungu kuna cancer nyingi sana kuliko hata Afrika. Kitendo cha kusingle out great lakes za east africa kina agenda nyuma yake, na kama ukienda Bugando utakuta wagonjwa wengi wa cancer wanatoka ukanda wa ziwa sababu Bugando ipo Mwanza. Ni sawa na kusema Dar wanapata sana ajali za pikipiki kwa sababu Muhimbili ina idadi kubwa ya majeruhi wa idadi ya pikipiki. Again, watanzania tujifunze kuchukua habari za wazungu wanazoteport kuhusu sisi kwa jicho la tatu
So then US wakikupatia USD 600 M kwa ajili ya kusupport afya una uhakika gani kwamba hiyo ni aslimia ndogo sana ya wanachobeba kwa mkono wa pili kupitia mikataba kibao inayofavour makampuni ya kimarekani?Unasema ubepari wakati Magufuli alishasema hili na waziri wa Afya. Hizi ni data za Tanzania sio za UN au USA!. Kuna vitu ambavyo sio vya kulaumu wengine mfano data zinaoneonyesha cancer zimeongezeka badala ya kutafuta sababu na kuokoa maisha tunazungumzia data za wenzetu! sasa hata kama ni kweli kwamba cancer huko US ni zaidi yetu ina maana sisi tusijali ongezeko wa wagojwa wengi tena wa kanda moja tu!. Kwenye haya mambo tuweke siasa pembeni na kujaribu kuokoa maisha ya wananchi.
Kama hujui US pekee wanasaidia $600M kwenye Afya sasa kama wangetaka tufe kwanini watume pesa za kujenga hospitali na kufanya chanjo kwa watoto wetu.
Na hapo juu nimesahau kukwambia jinsi ambavyo pesa yoyote anayoitoa mmarekani ni kwa ajili ya interest za Marekani kwanza kabla ya interest zako. Na kwa bahati nzuri sana kwao tayari wameshatangulia sana kiasi kwamba akikupa wewe 600M kwenye afya ambayo hiyo hela utaitumia kununua dawa mbalimbali wanazoziuza wao, yeah kwa upande wenu wapewa msaada mtajiona mmefaidika (mmepata dawa) but obviously pharma industry za marekani zilizotapakaa dunia nzima keep on running. Na labda niliweke hili vizuri: mi sipo kinyume na Marekani na interest zake, after all ni wajibu wa kila nchi kushinda mechi zake. Kitu ambacho niko kinyume nacho kabisa ni hizi western propaganda machine zinazotaka jambo fulani nyuma ya pazia kwa njia ya hila na udanganyifu. Watajifanya kuhubiri uhuru na demokrasia kumbe wanachokitaka ni nchi za dunia hii kuwa na mazingira wezeshi kwa ajili ya biashara zao, watajifanya kuhubiri soko huria kwa sababu viwanda vyao tayari vina uwezo wa kuzalisha bidhaa mbalimbali kwa unafuu zaidi hivyo zinaweza kushindana sokoni kuliko zenu nyie mnaoanza. Kila wanachofanya kina agenda nyuma yake.Unasema ubepari wakati Magufuli alishasema hili na waziri wa Afya. Hizi ni data za Tanzania sio za UN au USA!. Kuna vitu ambavyo sio vya kulaumu wengine mfano data zinaoneonyesha cancer zimeongezeka badala ya kutafuta sababu na kuokoa maisha tunazungumzia data za wenzetu! sasa hata kama ni kweli kwamba cancer huko US ni zaidi yetu ina maana sisi tusijali ongezeko wa wagojwa wengi tena wa kanda moja tu!. Kwenye haya mambo tuweke siasa pembeni na kujaribu kuokoa maisha ya wananchi.
Kama hujui US pekee wanasaidia $600M kwenye Afya sasa kama wangetaka tufe kwanini watume pesa za kujenga hospitali na kufanya chanjo kwa watoto wetu.
Na hapo juu nimesahau kukwambia jinsi ambavyo pesa yoyote anayoitoa mmarekani ni kwa ajili ya interest za Marekani kwanza kabla ya interest zako. Na kwa bahati nzuri sana kwao tayari wameshatangulia sana kiasi kwamba akikupa wewe 600M kwenye afya ambayo hiyo hela utaitumia kununua dawa mbalimbali wanazoziuza wao, yeah kwa upande wenu wapewa msaada mtajiona mmefaidika (mmepata dawa) but obviously pharma industry za marekani zilizotapakaa dunia nzima keep on running. Na labda niliweke hili vizuri: mi sipo kinyume na Marekani na interest zake, after all ni wajibu wa kila nchi kushinda mechi zake. Kitu ambacho niko kinyume nacho kabisa ni hizi western propaganda machine zinazotaka jambo fulani nyuma ya pazia kwa njia ya hila na udanganyifu. Watajifanya kuhubiri uhuru na demokrasia kumbe wanachokitaka ni nchi za dunia hii kuwa na mazingira wezeshi kwa ajili ya biashara zao, watajifanya kuhubiri soko huria kwa sababu viwanda vyao tayari vina uwezo wa kuzalisha bidhaa mbalimbali kwa unafuu zaidi hivyo zinaweza kushindana sokoni kuliko zenu nyie mnaoanza. Kila wanachofanya kina agenda nyuma yake.
Wangekuwa direct kama mchina anavyokuja, tupe hiki tuwape hiki nisingekuwa na shida nao kabisa.
Ni dawa zipi tunazonunua kutoka Marekani na zina thamani gani. Naijua kiasi flani sekta ya afya, utakaponijibu andika ukweliNa hapo juu nimesahau kukwambia jinsi ambavyo pesa yoyote anayoitoa mmarekani ni kwa ajili ya interest za Marekani kwanza kabla ya interest zako. Na kwa bahati nzuri sana kwao tayari wameshatangulia sana kiasi kwamba akikupa wewe 600M kwenye afya ambayo hiyo hela utaitumia kununua dawa mbalimbali wanazoziuza wao, yeah kwa upande wenu wapewa msaada mtajiona mmefaidika (mmepata dawa) but obviously pharma industry za marekani zilizotapakaa dunia nzima keep on running. Na labda niliweke hili vizuri: mi sipo kinyume na Marekani na interest zake, after all ni wajibu wa kila nchi kushinda mechi zake. Kitu ambacho niko kinyume nacho kabisa ni hizi western propaganda machine zinazotaka jambo fulani nyuma ya pazia kwa njia ya hila na udanganyifu. Watajifanya kuhubiri uhuru na demokrasia kumbe wanachokitaka ni nchi za dunia hii kuwa na mazingira wezeshi kwa ajili ya biashara zao, watajifanya kuhubiri soko huria kwa sababu viwanda vyao tayari vina uwezo wa kuzalisha bidhaa mbalimbali kwa unafuu zaidi hivyo zinaweza kushindana sokoni kuliko zenu nyie mnaoanza. Kila wanachofanya kina agenda nyuma yake.
Wangekuwa direct kama mchina anavyokuja, tupe hiki tuwape hiki nisingekuwa na shida nao kabisa.
So? Mtu kama wewe unayefaidika moja kwa moja kwa maslahi ya marekani utasema chochote tofauti na script ya unayemtumikia? MSD inanunua dawa generic lakini pia inanunua prescription drugs. Na wala sisemi kwamba $600m lazima zote zirudi kwa aliyezitoa. Ninachosema ni kwamba hawatoi hizo 600m kama free lunch, watakupa 600m lakini wana lengo na namna ya kupata faida zaidi ya hizo walizozitoa. Na wamejenga mifumo sophisticated soft and hard kuhakikisha kwamba maslahi yao yanalindwa.Inawezekana hujui mimi nipo US kwa miaka 25 sasa.Pili mimi nafanya kazi kwenye kampuni za mikataba ya madawa hapa Marekani kwa zaidi ya miaka 10. Huo unao ongea ni uvumi hauna ukweli wowote ni maneno ya vijiweni. Nenda kasome vizuri maelekezo ya hiyo pesa halafu uje na uhalisia ni dawa zipi za US wanaenda kununua. MSD wana nunua dawa za generic kutoka India sio US.
Hata sijaelewa lengo la swali hili sababu wewe unaijua sekta ya afya lakini mimi pia nina ka ufahamu kuhusu life cycle ya drugs na jinsi hizi biashara za dawa zinavyooperate. Pharma companies zinazotengeneza madawa yote maarufu nyingi zinamilikiwa na Marekani hata zile zilizo Ulaya (mfano Novartis). India ndio wanatengeneza madawa mengi under generic licence lakini lazima wanunue authorization kutoka kwa original manufacturers.Ni dawa zipi tunazonunua kutoka Marekani na zina thamani gani. Naijua kiasi flani sekta ya afya, utakaponijibu andika ukweli
So? Mtu kama wewe unayefaidika moja kwa moja kwa maslahi ya marekani utasema chochote tofauti na script ya unayemtumikia? MSD inanunua dawa generic lakini pia inanunua prescription drugs. Na wala sisemi kwamba $600m lazima zote zirudi kwa aliyezitoa. Ninachosema ni kwamba hawatoi hizo 600m kama free lunch, watakupa 600m lakini wana lengo na namna ya kupata faida zaidi ya hizo walizozitoa. Na wamejenga mifumo sophisticated soft and hard kuhakikisha kwamba maslahi yao yanalindwa.
Kitimoto? Au nyama ya nini?Siyo kanda ya ziwa tuu bali ni shehemu yeyote wanapokula nyama kwa wingi
Yaah mkuu ni kweli, mimi nathibitisha hili sababu nafanya kazi taasisi ya saratani Tanzania lakini sio daktari.Mna uhakika kuna mpasuko mkubwa wa Cancer kanda ya ziwa??
Kansa kanda ya ziwa TZ ni kipengele mkuuUnasema ubepari wakati Magufuli alishasema hili na waziri wa Afya. Hizi ni data za Tanzania sio za UN au USA!. Kuna vitu ambavyo sio vya kulaumu wengine mfano data zinaoneonyesha cancer zimeongezeka badala ya kutafuta sababu na kuokoa maisha tunazungumzia data za wenzetu! sasa hata kama ni kweli kwamba cancer huko US ni zaidi yetu ina maana sisi tusijali ongezeko wa wagojwa wengi tena wa kanda moja tu!. Kwenye haya mambo tuweke siasa pembeni na kujaribu kuokoa maisha ya wananchi.
Kama hujui US pekee wanasaidia $600M kwenye Afya sasa kama wangetaka tufe kwanini watume pesa za kujenga hospitali na kufanya chanjo kwa watoto wetu.