Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 478
- 962
Habari wakuu.
Ningependa kufahamu ni kiwango gani cha elimu mtu akifikia anastahili kuitwa msomi?
Je, akijua kusoma na kuandika anastahili kuitwa msomi? Au akimaliza elimu ya msingi anafaa kuitwa msomi? Au kuitwa msomi kunaanzia ngazi ya elimu ya sekondari (O-level & A-level)? Au ni ngazi ya Astashahada, Stashahada, Shahada, Uzamili, Uzamivu hadi Uprofessa?
~Gai da seboga
Ningependa kufahamu ni kiwango gani cha elimu mtu akifikia anastahili kuitwa msomi?
Je, akijua kusoma na kuandika anastahili kuitwa msomi? Au akimaliza elimu ya msingi anafaa kuitwa msomi? Au kuitwa msomi kunaanzia ngazi ya elimu ya sekondari (O-level & A-level)? Au ni ngazi ya Astashahada, Stashahada, Shahada, Uzamili, Uzamivu hadi Uprofessa?
~Gai da seboga