Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,917
- 1,660
wanabodi salaam sana.
Kuna swali kila siku najiuliza nafikiri nikiwashirikisha majibu nitayapata leo.
Jana kwenye Taarifa ya Habari ya saa mbili Usiku wanafunzi wa Vyuo vikuu ambao ni wanasisiem walikuwa wakiongea na Bwana January Makamba wakitoa matamko mbalimbali kuhusu chama chao cha CCM.ku
na neno waliokuwa wanalitumia sana kuwa " eti wao Wasomi" hawaridhishwi na mwenendo mzima wa Chama Chao.
Neno wasomi ndo linanipa shida kidogo.
Hivi watu kama Dr. slaa,Dr. Harison Mwakyembe,Tundu Lisu,Issa Shifji na wengine wengi ambao leo tunajivunia matunda ya elimu zao tutawaitaje!. Kama watu waliopo shuleni ambao bado hawajahitimu na kuonesha product za elimu yao nao wanajiita wasomi?
MI naona hawa tuwape jina linalowastahili yaani WASOMAJI. Je Wewe utawaitaje? natoa hoja
Kuna swali kila siku najiuliza nafikiri nikiwashirikisha majibu nitayapata leo.
Jana kwenye Taarifa ya Habari ya saa mbili Usiku wanafunzi wa Vyuo vikuu ambao ni wanasisiem walikuwa wakiongea na Bwana January Makamba wakitoa matamko mbalimbali kuhusu chama chao cha CCM.ku
na neno waliokuwa wanalitumia sana kuwa " eti wao Wasomi" hawaridhishwi na mwenendo mzima wa Chama Chao.
Neno wasomi ndo linanipa shida kidogo.
Hivi watu kama Dr. slaa,Dr. Harison Mwakyembe,Tundu Lisu,Issa Shifji na wengine wengi ambao leo tunajivunia matunda ya elimu zao tutawaitaje!. Kama watu waliopo shuleni ambao bado hawajahitimu na kuonesha product za elimu yao nao wanajiita wasomi?
MI naona hawa tuwape jina linalowastahili yaani WASOMAJI. Je Wewe utawaitaje? natoa hoja