yapo mengi tu hata viongozi wanaleta mambo ya ajabu kutokana na uwezo wa watu wanaowaongoza!.
ukipeleka kiongozi wetu huku akaongoze marekani anaweza akachemka vibaya mno maana atakutana na vitu vya tofauti na changamoto za tofauti mno asipokimbia basi atafungwa!, ustaarabu walionao wenzetu ni tofauti na huku maana utajiri huendana na ustaarabu kuna tabia mtu anakuwanazo akiwa tajiri na pia akiwa maskini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.