ZINDAGI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 1,117
- 1,425
Najaribu kutafakari kwa kiwango cha ujenzi wa barabara ya mwendo kasi kati ya JKT kilwa Road mpaka Chamgimbe, kiwango cha ujenzi kiangaliwe
.
1.Kingo za barabara hazijanyooka
2.Tofali za pembeni zinamegeka
3.Baadhi ya chamber mifuniko imefumuka
4.Zege inamawimbi.
5.La mwisho, barabara moja ya magari, daladala akipakia/kushusha nyuma ni foleni.
Tunaomba wasimamizi waangalie haya
.
1.Kingo za barabara hazijanyooka
2.Tofali za pembeni zinamegeka
3.Baadhi ya chamber mifuniko imefumuka
4.Zege inamawimbi.
5.La mwisho, barabara moja ya magari, daladala akipakia/kushusha nyuma ni foleni.
Tunaomba wasimamizi waangalie haya