Kigwangalla kushangaa UDART kushindwa kuendesha mwendokasi ni unafiki wa kiwango cha juu

Artifact Collector

JF-Expert Member
Mar 7, 2019
6,539
10,007
Udart kushindwa kuendesha mwendokasi sio suala la kushangaa ni unafki sana kushangaa kama wameshindwa.
Kingwangala kama walivyo watanzania wengi anasumbuliwa na unafiki pale wanaposhangaa kuona udart wameshindwa mwendokasi.

Yani unajenga barabara unamuita Mchina aje kuweka mabus abebe faida. Sasa kati ya ujenzi wa zile barabara na magari kipi kina gharama? Kama urasimu ni mwingi kwanini watu hawawajibishwi wakiiba? Nchi inadumaa kisa kuogopana na kuchekeana.

Mfano, wale waliyokuwa wanahujumu kivuko cha Magogoni na Kigamboni kabla hajapewa Bakharesa wangetakiwa wawe na kesi ya kujibu.

Kuna miaka itakuja tutamani kutawaliwa na wazungu voluntary kwa ridhaa yetu sababu ni kama somo la Management limetushinda sisi Waafrika na hii inamprove Wright Botha katika ile speech yake aliyoitoa.
 

Attachments

  • Screenshot_20220912-104620.png
    Screenshot_20220912-104620.png
    42.9 KB · Views: 15
Udart kushindwa kuendesha mwendokasi sio suala la kushangaa ni unafki Sana kushangaa kama wameshindwa

Kingwangala kama walivyo watanzania wengi anasumbuliwa na unafki pale wanaposhangaa kuona udart wameshindwa mwendokasi

Kuna miaka itakuja tutamani kutawaliwa na wazungu kwa ridhaa yetu sababu ni kama Somo la management limetushinda sis waafrika na hii inamprove wright botha katika ile speech yake aliyoitoa
Wizi umbea ndio tunaweza
 
Udart kushindwa kuendesha mwendokasi sio suala la kushangaa ni unafki Sana kushangaa kama wameshindwa

Kingwangala kama walivyo watanzania wengi anasumbuliwa na unafki pale wanaposhangaa kuona udart wameshindwa mwendokasi

Kuna miaka itakuja tutamani kutawaliwa na wazungu kwa ridhaa yetu sababu ni kama Somo la management limetushinda sis waafrika na hii inamprove wright botha katika ile speech yake aliyoitoa
Mzee wa nje ya box akiki zimemrudi. Hana cha kupoteza.
 
KIgwa yupo sahihi ktk hili 100%. Kuna makala tena nilisoma majuzi The Citizen kuhusu haya mamwendo kasi nikastaajabu sana kwa tunaelekea wapi kwakweli! Eti kuna mwarabu anamwaga mibasi tena mweh! Pia nilisikia tena kuna mabajaj 300 ya umeme yanakuja! yani fulu vululuvululu ili mradi tafrani tu.
 
Udart kushindwa kuendesha mwendokasi sio suala la kushangaa ni unafki Sana kushangaa kama wameshindwa

Kingwangala kama walivyo watanzania wengi anasumbuliwa na unafki pale wanaposhangaa kuona udart wameshindwa mwendokasi

Kuna miaka itakuja tutamani kutawaliwa na wazungu kwa ridhaa yetu sababu ni kama Somo la management limetushinda sis waafrika na hii inamprove wright botha katika ile speech yake aliyoitoa
Aibu ilioje 😂😂😂 yani barabara ya kwako binafsi, gari zako pekee, abiria wote wakwako kwa umbali usiozidi 15Km.
 
Kigwa hajakosea! Sijui kwanini kuna watu wanajiona wao tu ndio wenye haki ya kuibua na kujadili mambo kama haya. UDART ni moja ya taasisi ambazo zina sarakasi ambazo zinatutia aibu sana.

Kama tumeshindwa kuliko kuwapa watu wa nje si bora tuwape akina Bakhersa ili uwekezaji wao na faida ibakie ndani?

Alafu kushindwa kuendesha biashara ya daladala kweli? Wala haihitaji complex economic matrix! Ni watu wanataka kuiba hadi matairi alafu wavute mamikopo huko nje watambae!
 
Aibu ilioje 😂😂😂 yani barabara ya kwako binafsi, gari zako pekee, abiria wote wakwako kwa umbali usiozidi 15Km.
Na bado inakushinda
Kuna mdaa baadhi ya watu wanaokaa ofisin nimetokea kuwachukia wako kwenye comfort zone wanachofikiri wao ni kupata hela rahis kupitia wizi hawataki ku-hustle kama watu wa mtaani
 
Kigwa hajakosea! Sijui kwanini kuna watu wanajiona wao tu ndio wenye haki ya kuibua na kujadili mambo kama haya. UDART ni moja ya taasisi ambazo zina sarakasi ambazo zinatutia aibu sana.

Kama tumeshindwa kuliko kuwapa watu wa nje si bora tuwape akina Bakhersa ili uwekezaji wao na faida ibakie ndani?

Alafu kushindwa kuendesha biashara ya daladala kweli? Wala haihitaji complex economic matrix! Ni watu wanataka kuiba hadi matairi alafu wavute mamikopo huko nje watambae!
Kipindi maxmalipo anafanyiwa figisu akapewa ttcl kigwangala alikua upande ule wa waliokua wanafanya huu ujinga
 
Aliyeuwa mwendokasi ni Magufuli na alifanya haya kigwangala akiwa Waziri. Alikuwa wapi kusema haya?

Mwendokasi ilianza vizuri chini ya kampuni ya Maxmalipo na kulikuwa na ticket za kadi unalipia na kutumia wiki nzima na mapato yalikuwa yapo vizuri sana

Akaja magufuli akaondoa ile kampuni na kuleta ushamba wake eti akaweka wanajeshi na kukawa kuna kukata ticket kama daladala ndo mwisho wake mwendokasi imekuwa hivi. Wakata ticket wanajenga nyumba huku mradi unakufa watu wanajazwa kama kuku kwenye magari

Kigwangala angeongea kipindi kile wakati magufuli alivyokuwa anaua mwendokasi sio kuleta ujinga saivi
 
Udart kushindwa kuendesha mwendokasi sio suala la kushangaa ni unafki Sana kushangaa kama wameshindwa

Kingwangala kama walivyo watanzania wengi anasumbuliwa na unafki pale wanaposhangaa kuona udart wameshindwa mwendokasi

Yani unajenga barabara unamuita Mchina aje kuweka mabus abebe faidaa.. Sasa kati ya ujenzi wa zile barabara na Magari kipi kina Gharama??? Kama urasimu ni mwingi why watu hawawajibishwi wakiiba? NCHI inadumaa kisa kuogopana na kuchekeana, Mfano wale waliyokua wanahujumu kivuko Cha magogoni na kigambon kabla hajapewa bakharesa wangetakiwa wawe na kesi ya kujibu

Kuna miaka itakuja tutamani kutawaliwa na wazungu voluntary kwa ridhaa yetu sababu ni kama Somo la management limetushinda sis waafrika na hii inamprove wright botha katika ile speech yake aliyoitoa
wote hao wanajuana siri zao.Ni wapigaji ambao wanaogopana kutoleana siri zao ila tu wanazidiana kete.hawana lolote hao dawa ni 2025 kuwapiga chini tuanze upya.
 
Udart kushindwa kuendesha mwendokasi sio suala la kushangaa ni unafki Sana kushangaa kama wameshindwa

Kingwangala kama walivyo watanzania wengi anasumbuliwa na unafki pale wanaposhangaa kuona udart wameshindwa mwendokasi

Yani unajenga barabara unamuita Mchina aje kuweka mabus abebe faidaa.. Sasa kati ya ujenzi wa zile barabara na Magari kipi kina Gharama??? Kama urasimu ni mwingi why watu hawawajibishwi wakiiba? NCHI inadumaa kisa kuogopana na kuchekeana, Mfano wale waliyokua wanahujumu kivuko Cha magogoni na kigambon kabla hajapewa bakharesa wangetakiwa wawe na kesi ya kujibu

Kuna miaka itakuja tutamani kutawaliwa na wazungu voluntary kwa ridhaa yetu sababu ni kama Somo la management limetushinda sis waafrika na hii inamprove wright botha katika ile speech yake aliyoitoa
Adui wetu namba moja ni CCM na mijitu yake. Inatuaibisha hata mbele ya mataifa mengine
 
wote hao wanajuana siri zao.Ni wapigaji ambao wanaogopana kutoleana siri zao ila tu wanazidiana kete.hawana lolote hao dawa ni 2025 kuwapiga chini tuanze upya.
Kabisa mkuu! I support that!
#2025 Tuanze upya.
 
Aliyeuwa mwendokasi ni Magufuli na alifanya haya kigwangala akiwa Waziri. Alikuwa wapi kusema haya?

Mwendokasi ilianza vizuri chini ya kampuni ya Maxmalipo na kulikuwa na ticket za kadi unalipia na kutumia wiki nzima na mapato yalikuwa yapo vizuri sana

Akaja magufuli akaondoa ile kampuni na kuleta ushamba wake eti akaweka wanajeshi na kukawa kuna kukata ticket kama daladala ndo mwisho wake mwendokasi imekuwa hivi. Wakata ticket wanajenga nyumba huku mradi unakufa watu wanajazwa kama kuku kwenye magari

Kigwangala angeongea kipindi kile wakati magufuli alivyokuwa anaua mwendokasi sio kuleta ujinga saivi
Una akili ndogo sana, kinachoiua mwendokasi sio suala la ukataji ticket Wala mapato, kwanza mapato yameongezeka tofauti na alivyokuwepo Magufuli.

Mfano kivuko Cha kigamboni nacho kimefeli je Ni sababu ya ticket? Tena Sasa hivi karibuni walikuja na mfumo wa kadi Ila bado kimefeli, unajua sababu ni nn?
 
Kipindi maxmalipo anafanyiwa figisu akapewa ttcl kigwangala alikua upande ule wa waliokua wanafanya huu ujinga
Max malipo haihusiani na mwendokasi kushindwa kuperform. Max malipo alitoa huduma ya ticket tu, na tatizo la mwendokasi kushindwa sio ukataji ticket kwa kuwa mapato yameendelea kuongezeka siku hadi siku.

Au unataka kusema kufeli kwa huduma ya kivuko kigamboni nayo ni kuondolewa max malipo? I

Tatizo lililopo Dart, ndio lipo kwa temesa pale kigamboni, na ndio lipo kwenye mashirika yetu karibu yote. Mchawi yupo hapo.

Kushindwa kea Dart sababu zake zinafanana na kushindwa kwa huduma nyingine karibu zote.
 
maxcom aliponyang'anywa tenda ya kusimamia ukusanyaji, kigwangala huyu huyu alishangilia
 
maxcom aliponyang'anywa tenda ya kusimamia ukusanyaji, kigwangala huyu huyu alishangilia
Max malipo alikuwa hakusanyi mapato unapaswa kulijua hilo kwanza, max malipo walikua naa mfumo unaotumiwa tu na dart kukusanya pesa. Ni sawa na useme SELCOM wanakusanya mapato.

Hata hivyo baada ya max malipo mbona mapato mwaka Jana na mwaka huu yameongezeka?
 
kama tunashindwa kusimamia mradi wa mwendo kasi na kivuko cha Kigamboni hivi serikali yetu itaweza kusimamia mradi mkubwa wa sgr?
 
Max malipo haihusiani na mwendokasi kushindwa kuperform. Max malipo alitoa huduma ya ticket tu, na tatizo la mwendokasi kushindwa sio ukataji ticket kwa kuwa mapato yameendelea kuongezeka siku hadi siku.

Au unataka kusema kufeli kwa huduma ya kivuko kigamboni nayo ni kuondolewa max malipo? I

Tatizo lililopo Dart, ndio lipo kwa temesa pale kigamboni, na ndio lipo kwenye mashirika yetu karibu yote. Mchawi yupo hapo.

Kushindwa kea Dart sababu zake zinafanana na kushindwa kwa huduma nyingine karibu zote.
Mfumo wa tiketi uliopo ni mbovu ni rahisi sana mtu kuiba tofauti na kipindi kile Cha max malipo na ni moja ya kiini Cha tatizo
 
Back
Top Bottom