Kiwango cha Barabara ya Mwendokasi Gerezani - Mbagala

Kiwango cha Barabara ya Mwendokasi Gerezani - Mbagala

ZINDAGI

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2015
Posts
1,118
Reaction score
1,437
Kila nikilinganisha kiwango cha ujenzi cha mradi wa barabara za ya mwendokasi ya Gerezani-Mbagara (PHASE III) na kile cha PHASE I&II napata mlinganisho ambao sio sawa kwa viwango tofauti national ipo wazi sana.

1. Jana nilikwua napita ktk njia za watembea kwa miguu ambazo zimejengwa chini ya miezi miwili, njia yote ina mabonde mabonde.

2. Capstone nyingi zineshamegeka megeka ktk kona zake.

3. Viguzo ktk vivuko nyingi zineguswa zimeshaanguka.

Wahusika wachukue hatua kabla ya mkandarasi hajatoka site.

Hatujachelewa.
 
Ukiacha hiyo barabara kuna kitu gani cha nasna huko mbagala unachoweza kulinganisha na wilaya ya kinondoni au ubungo
 
Ukiacha hiyo barabara kuna kitu gani cha nasna huko mbagala unachoweza kulinganisha na wilaya ya kinondoni au ubungo
Hakuna kabisa
Huku ni dunia ya saba
 
Nimeona kipande cha JKT-VETA wanavunja joints wajaze upya, angalau kuna mtu kawaambia
 
Kila nikilinganisha kiwango cha ujenzi cha mradi wa barabara za ya mwendokasi ya Gerezani-Mbagara (PHASE III) na kile cha PHASE I&II napata mlinganisho ambao sio sawa kwa viwango tofauti national ipo wazi sana.

1. Jana nilikua napita ktk njia za watembea kwa miguu ambazo zimejengwa chini ya miezi miwili, njia yote ina mabonde mabonde.

2. Capstone nyingi zineshamegeka megeka ktk kona zake.

3. Viguzo ktk vivuko nyingi zineguswa zimeshaanguka.

Wahusika wachukue hatua kabla ya mkandarasi hajatoka site.

Hatujachelewa.
HEbu tuache bana.

Mama anafungua kantre. Wakandarasi ni wawekezaji siku hizi na tunaaswa tusiwasumbue😄😄
 
Kila nikilinganisha kiwango cha ujenzi cha mradi wa barabara za ya mwendokasi ya Gerezani-Mbagara (PHASE III) na kile cha PHASE I&II napata mlinganisho ambao sio sawa kwa viwango tofauti national ipo wazi sana.

1. Jana nilikua napita ktk njia za watembea kwa miguu ambazo zimejengwa chini ya miezi miwili, njia yote ina mabonde mabonde.

2. Capstone nyingi zineshamegeka megeka ktk kona zake.

3. Viguzo ktk vivuko nyingi zineguswa zimeshaanguka.

Wahusika wachukue hatua kabla ya mkandarasi hajatoka site.

Hatujachelewa.
Tupo busy na DP world
 
Misingi tu ya vituo vyake ilijengwa kwa tofali, halafu juu frame za chuma zimechomwa kwa kutumia vyuma vya kawaida tu kama wabongo wanavyotengenezea grill za mageti au madirisha...
 
Hilo tatizo me nimeliona zaidi ya mwaka mmoja uliopita strabag walivyojenga ni tofauti kabisa na hawa mabwana. Kuna kitu hakiko sawa, Tofali zege siyo imara kabisa
Kuna zile kingo za barabara ya mwendokasi ambazo huwa ni fupi kabisa kiasi kwamba kukiwa na foleni sometimes gari huwa zinatanua kwa kuingia mwendokasi sasa hiyo tu imefanya hizi kingo kusagika na barabara ndiyo kwanza ujenzi unaendelea


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Chea
Kila nikilinganisha kiwango cha ujenzi cha mradi wa barabara za ya mwendokasi ya Gerezani-Mbagara (PHASE III) na kile cha PHASE I&II napata mlinganisho ambao sio sawa kwa viwango tofauti national ipo wazi sana.

1. Jana nilikua napita ktk njia za watembea kwa miguu ambazo zimejengwa chini ya miezi miwili, njia yote ina mabonde mabonde.

2. Capstone nyingi zineshamegeka megeka ktk kona zake.

3. Viguzo ktk vivuko nyingi zineguswa zimeshaanguka.

Wahusika wachukue hatua kabla ya mkandarasi hajatoka site.

Hatujachelewa.
Cheap is expensive,Jiwe mara nyingi alikuwa analazimisha bei ndogo nk.

Haya hivyo uzembe mkubwa ni WA TanRoads Dar maana sio hiyo ya Mwendazake pekee hata njia 8 Kuna km 2 Waziri Mbarawa aliamuru zifumuliwe na kujengwa upya..

Pia kana kwamba haitoshi Sogwe Barabara ya Tunduma/Mpemba -Ileje Wachina wameanuliwa kufumua vipande vingi sana na wanarudia Kwa sababu za kulipua ujenzi..

Mwisho kabisa Wasimamizi wasipokuwa makini mambo Huwa yanaharibika kama hivyo.
 
Ukiacha hiyo barabara kuna kitu gani cha nasna huko mbagala unachoweza kulinganisha na wilaya ya kinondoni au ubungo
Bandari ya Dar es salaam ,Uwanja wa Taifa ,Chuo kikuu Duce,Chuo cha veta,Soko kubwa Mbagala rangi tatu,Bank nyingi pale rangi tatu,Stendi ya Mabasi yanayokwenda mikoa ya kusini,Uhamiaji ofisi,zote hizo inatumika kilwa road na Chang'ombe road uelekeo wa Mbagala na ndiyo vitu muhimu kwa Taifa.Au unalo la kuongeza
 
PITIA HAPA NA UPIGE KURA YAKO[emoji116][emoji116][emoji116]



TUUNGANE KWA PAMOJA KUZUIA AJALI ZA BARABARANI.
 
Kila nikilinganisha kiwango cha ujenzi cha mradi wa barabara za ya mwendokasi ya Gerezani-Mbagara (PHASE III) na kile cha PHASE I&II napata mlinganisho ambao sio sawa kwa viwango tofauti national ipo wazi sana.

1. Jana nilikwua napita ktk njia za watembea kwa miguu ambazo zimejengwa chini ya miezi miwili, njia yote ina mabonde mabonde.

2. Capstone nyingi zineshamegeka megeka ktk kona zake.

3. Viguzo ktk vivuko nyingi zineguswa zimeshaanguka.

Wahusika wachukue hatua kabla ya mkandarasi hajatoka site.

Hatujachelewa.
 

Attachments

  • BC0D9964-C572-4C29-B234-12E33003AA20.jpeg
    BC0D9964-C572-4C29-B234-12E33003AA20.jpeg
    24.4 KB · Views: 16
Kila nikilinganisha kiwango cha ujenzi cha mradi wa barabara za ya mwendokasi ya Gerezani-Mbagara (PHASE III) na kile cha PHASE I&II napata mlinganisho ambao sio sawa kwa viwango tofauti national ipo wazi sana.

1. Jana nilikwua napita ktk njia za watembea kwa miguu ambazo zimejengwa chini ya miezi miwili, njia yote ina mabonde mabonde.

2. Capstone nyingi zineshamegeka megeka ktk kona zake.

3. Viguzo ktk vivuko nyingi zineguswa zimeshaanguka.

Wahusika wachukue hatua kabla ya mkandarasi hajatoka site.

Hatujachelewa.
Mbagala huwa hawana noma hao. Si ndiyo kule walipojengewa ile barabara ya Kilwa road badala ya kuwawekea lami wakawawekea big g?
Hao huwa hawana baya na mtu, bila shaka hiyo bara ya mwendokasi ameewa Mkandarasi wa ndani ili ajifunzie kwao jinsi ya kunyoa.
 
Back
Top Bottom