Mimi bei za yeboyebo zisijui lakini nakupa ramani ya kufika hapo kiwandani kama upo dar ,nenda temeke mwisho au kama upo mbagala rangi tatu panda magari yanayokwenda MKURANGA mwambie kondakta unishushe kituo kinaitwa yeboyebo ,yaani upande unaoshukia ndio upande ambao unamlango wa kuingia .
Hicho kiwanda kimeungua kweli? Saa ngapi?coincidence au ? , yaani unaulizia ichi kiwanda, na leo kimeshika moto ?