Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,961
- 2,138
Muda wa saa nane na nusu mchana nimeletewa taarifa na rafiki yangu kwamba kasikia kutoka radio kwamba: Habari mpya mpya (Breaking News): Kiwanda cha Nondo cha Mikocheni kinawaka moto. Nimesituka sana, na muda huu nachungulkia kwenye jamvi letu JF sioni hii habari. Kuna mtu mwenye taarifa kamili atupe uhakika???