Kiwanda cha mmea

Hao ni wale ambao hawafanyi kazi, muda wote maskani
mkuu hoja ni kwamba mficha uchi hazai, ila kutokana na kampani utakayokuwa nayo itafika siku malezi yatakushinda kutokana na kuwa mkuza mmea kichwani. naongea kutokana na uzoefu.
 
mkuu hoja ni kwamba mficha uchi hazai, ila kutokana na kampani utakayokuwa nayo itafika siku malezi yatakushinda kutokana na kuwa mkuza mmea kichwani. naongea kutokana na uzoefu.
Mimi pia naongea kutokana na uzoefu japo tunatofautiana wewe unaongea kwa uzoefu wa kuona me naongea kwa uzoefu wa kutumia, mkuu hao unaowaongelea wewe ni wale vijana "wahuni" wasiopenda kufanya kazi! Muda wote wapo maskani wakivuta tu bangi lakini sio wote kama ilivyo pia kwa baadhi ya walevi wanaokaa bar asubuhi hadi jioni bila kufanya kazi yeyote
 
hongera kaka.wewe ni wachache katika wengi ambao wameshindwa kujitambua kwa vilevi vyao,

ila mie nina shemeji yangu mwajiriwa ni hatari, ndumu mtu. ila dada anachompendea anasema shemeji yako ni mwaminifu sana japo mmea anakula na hajali watoto kabisaa..
 
Asante, na nimefurahi kwa mfano halisi uliotoa wa shemeji yako, hapa utajifunza kua bangi haina tatizo ila tabia za mtu ndio tatizo maana hili suala uliloliongelea hiyo tabia imeshamiri sana mitaani kwa sasa hivi na wengi wao hata hawatumii huu mmea, utaona hapo tatizo ni tabia ya mtu na sio ile dhana watu wanayo wakishajua unatumia bangi basi kila baya utakalofanya ni bangi imekutuma hili si kweli, kuna watu wengi wanayafanya kama haya na hawatumii
 
Hao ni wale ambao hawafanyi kazi, muda wote maskani

Ukisema hawafanyi kazi unakosea isipokuwa tu wanafanya KAZI......

Kwa wenzangu wa huku mitaani kwetu watakuwa wameshanielewa kazi zao
 
Ukisema hawafanyi kazi unakosea isipokuwa tu wanafanya KAZI......

Kwa wenzangu wa huku mitaani kwetu watakuwa wameshanielewa kazi zao
Alafu mimi nipo hapa kuwakilisha wanaotumia mmea tu, sio hao wahuni/vibaka wanaotumia hadi unga na pombe ili walipuke wakafanye ushetani wao
 
ati kuna mtu anauliza et wanalipa kodi..?
sasa hao ukienda kuwalipisha kodi sinisawa na wewe ndo umewapelekea kodi😱 nauhakika utarudi uchi😀
 
Alafu mimi nipo hapa kuwakilisha wanaotumia mmea tu, sio hao wahuni/vibaka wanaotumia hadi unga na pombe ili walipuke wakafanye ushetani wao
tupo pamoja mkuu..huu mmea hauna madhara yoyote mimi nimetumia tokea nikiwa shule na sijaona kilevi au starehe ambayo unaweza kufananisha na huu mmea..na ukifuatili marasi,wasanii,wanasayani na watu wakubwa hapa duniani wanatumia huu mmea sema watu wameukariri vibaya huu mmea kutokana na badhi ya watu ambao hawajielewi wanaotumia huu mmea
 

Pichani ni vijana wakiwa kwenye kiwanda chao cha kufyatua na kuchakata Bhangi
Serikali iendelee kuunga mkono Tanzania ya viwanda inawezekana
 
One Love! Mkuu ukweli umepotoshwa kwa kiasi kikubwa sana kuhusu huu mmea
 
Jamaa wamechoka kweli, hao hakuna uzalishaji zaidi ya wizi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…