Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
Jamaniee, Mungu atupe nini sisi watz? Kule Liganga kuna chuma ambayo tutaweza kuchimba kwa miaka hata mia, kule mchuchuma na mbinga kuna makaa ya mawe tunayoweza kuchimba kwa muda wa miaka hamsini. tunayo bahari kuingizia mashine na vito vinginge tusivyonavyo. makaa ya mawe kutengeneza umeme mwingi. gesi kutengeneza umeme na matumizi ya ndani. mafuta nayo kuna uwezekano mkubwa kuwepo.
zamani tulikuwa na kiwanda cha kuassemble magari kule kibaha(NYUMBU), si mnakumbuka magari ya nyumbu jamani? kiwanda kile kilikufa kifo cha mende(mende akifa kimgongo asipolalia kifua anaweza akaozea hapohapo). what makes us tzs kutokuhimiza kiwanda kipya cha magari hapa jamani? wakati chuma tunayo ya kumwaga. uranium kama ni kutengeneza umeme etc tunayo ya kumwaga hapa(in mbinga and around lake nyasa). wakenya wana assemble magari tayari, na sisi tunang'a macho tu. wakenya wangekuwa na resources hizi, wangekuwa mbali sana.
kama kuna kiongozi aliyeshika rungu humu(mimi sijashika rungu ndo maana sauti au impact yangu haiwezi kuwa kubwa kama ile ya watu tuliowapa dhamana), huko china,uturuki,japan etc mnakopeleka wanafunzi, basi pelekeni wanafunzi kwenye mambo ya technologia, ili wakirudi tuanzishe vitu vyetu.
Kuna kijana mmoja kule kanda ya ziwa alisoma Japan, akafanya field kule kwenye kampuni ya kutengeneza boat, kwasasa amerudi hapa bongo, anatengeneza boti nzuri na za kisasa kule ziwa victoria sana. yaani very good ship builder aisee. nina uchungu sana na nchi yangu kwakweli.
zamani tulikuwa na kiwanda cha kuassemble magari kule kibaha(NYUMBU), si mnakumbuka magari ya nyumbu jamani? kiwanda kile kilikufa kifo cha mende(mende akifa kimgongo asipolalia kifua anaweza akaozea hapohapo). what makes us tzs kutokuhimiza kiwanda kipya cha magari hapa jamani? wakati chuma tunayo ya kumwaga. uranium kama ni kutengeneza umeme etc tunayo ya kumwaga hapa(in mbinga and around lake nyasa). wakenya wana assemble magari tayari, na sisi tunang'a macho tu. wakenya wangekuwa na resources hizi, wangekuwa mbali sana.
kama kuna kiongozi aliyeshika rungu humu(mimi sijashika rungu ndo maana sauti au impact yangu haiwezi kuwa kubwa kama ile ya watu tuliowapa dhamana), huko china,uturuki,japan etc mnakopeleka wanafunzi, basi pelekeni wanafunzi kwenye mambo ya technologia, ili wakirudi tuanzishe vitu vyetu.
Kuna kijana mmoja kule kanda ya ziwa alisoma Japan, akafanya field kule kwenye kampuni ya kutengeneza boat, kwasasa amerudi hapa bongo, anatengeneza boti nzuri na za kisasa kule ziwa victoria sana. yaani very good ship builder aisee. nina uchungu sana na nchi yangu kwakweli.
Last edited: