Kivuko kigamboni ni utata

makaveli10

JF-Expert Member
Mar 27, 2013
28,097
80,915
Kuna umuhimu kila mwanakigamboni kujua kuogelea maana hii hali si hali, sasa hivi ukitaka kuhamia kigamboni unatahiniwa kwanza, ipo siku mtakuja kuskia rest in peace watu buku... Sasa sijui mamlaka husika haioni au hatua zaid zitachukuliwa mpaka roho za watu zitakaposogea mbele ya muumba.. Kakivuko kadogo watu lundo.
 
Kuna umuhimu kila mwanakigamboni kujua kuogelea maana hii hali si hali, sasa hivi ukitaka kuhamia kigamboni unatahiniwa kwanza, ipo siku mtakuja kuskia rest in peace watu buku... Sasa sijui mamlaka husika haioni au hatua zaid zitachukuliwa mpaka roho za watu zitakaposogea mbele ya muumba.. Kakivuko kadogo watu lundo.
kuna kamoja kanaitwa mv lami, nikipanda hako nakosa imani kabisa!
 
kuna kamoja kanaitwa mv lami, nikipanda hako nakosa imani kabisa!
Hahaa... Zingrkuwa roho unaweza ziweka kando, tungekuwa tunazivusha kwa tigo pesa upande wa pili, halaf viwiliwili vyetu ndio tunavitia kwenye vijivuko vyao
 
Kuna umuhimu kila mwanakigamboni kujua kuogelea maana hii hali si hali, sasa hivi ukitaka kuhamia kigamboni unatahiniwa kwanza, ipo siku mtakuja kuskia rest in peace watu buku... Sasa sijui mamlaka husika haioni au hatua zaid zitachukuliwa mpaka roho za watu zitakaposogea mbele ya muumba.. Kakivuko kadogo watu lundo.
Ujapata habari watu 3 wamepoteza maisha jioni ya leo baada ya mtumbwi aka fiber kupinduka? Inasemekana walikua watu kama 10 ile kufika mwisho nadhani kwenye kushuka wakakosea na mtumbwi ukapinduka
 
Ujapata habari watu 3 wamepoteza maisha jioni ya leo baada ya mtumbwi aka fiber kupinduka? Inasemekana walikua watu kama 10 ile kufika mwisho nadhani kwenye kushuka wakakosea na mtumbwi ukapinduka
Wakati mie navuka ndio nakuta habar hizo ndugu yangu, ila kwa mtu niliyemuhoji ananiambia kwenye fiber kulikuwa n watu 25.. Ila nikakosa lakuchukua maana kila m1 analonga lake
 
Mwingnr anasema walikuwa 24 9 wameokolewa, wengine walikuwa 10
 
Wakati mie navuka ndio nakuta habar hizo ndugu yangu, ila kwa mtu niliyemuhoji ananiambia kwenye fiber kulikuwa n watu 25.. Ila nikakosa lakuchukua maana kila m1 analonga lake
Mkuu kama wewe ni mpandaji hakuna fiber inayopakia watu wengi kiasi icho.. mimi ni mpandaji ila sijui kama ntapanda tena unless nitafute life vest yangu

Sina uhakika na izo habari kuhusu idadi ya watu ila mwenyewe nimesikia tu
 
Mkuu kama wewe ni mpandaji hakuna fiber inayopakia watu wengi kiasi icho.. mimi ni mpandaji ila sijui kama ntapanda tena unless nitafute life vest yangu

Sina uhakika na izo habari kuhusu idadi ya watu ila mwenyewe nimesikia tu
Mkuu nimepanda sana kuna kipindi ndio ulikuwa usafiri wangu.. Inategemea na ukubwa wa fiber, sijawahi kuhesabu watu so siwez kuwa na uhakika na hilo, ila inawezekana pia
 
Back
Top Bottom