Kivazi cha wanyakyusa.

Kivazi cha wanyakyusa.

Unajuwa zamani watu walikuwa na ile hali ya ubinadam zaidi nadhani kwa sababu ktk hali kama inavyoonekana katika picha sio kitu cha ajabu! Lakini eti dunia ya leo uvumilivu watu hawana hawawezi huenda wangebakwa hovyo wote hao!
 
Waafrika lazima tubaki kama wabantu kwani ndizo zama zetu tusisahau utamaduni wetu kamwe
 
Wanyakyusa.jpg

Source:Mzee wa Sumo.

Nani aliyesema au anayesema kuwa utamaduni wa mtanzania ni kuvaa mavazi yanayofunika mwili mpaka chini?

Nimekubali, wako soft hao!
 
Hapo umesema baba,mbona zamani watu walikuwa wanavaa hivyo na hakukuwa na kesi za ubakaji wala nini,hii ya sasa hivi ni mibaradhuli tu ambayo hata kutongoza haijui,na ikitongoza inakataliwa kwa sababu mingine hata haiogi na mwisho wake inakimbilia kupigia kelele dada zetu na kuwabaka, mimi napendekeza mijamaa ya aina hiyo ifungwe mpaka ife kabisa.

Nikwambie kitu Paka, yaani huku kujifichaficha ndio kunawatamanisha watu watake kujua humo ndani kuna nini, lakini tungekuwa tunajiachia tungezoeana tu, kudu inakuwa kwa makubaliano.
 
Hapana Paka Jimmy. Hili vazi ni la wanyakyusa na linaitwa ILYABI ( say: eilyab'hi). Nimewahi kuona miaka ya late 70's ilikuwa ikitengenezwa kwa magome ya miti. Sikuona inavyovaliwa, lakini iliwekwa na babu yetu kama kumbukumbu. Ingawa sikushuhudia, lakini nyaya yetu , yaani mama yake na babu yangu alivishwa hilo vazi alipofariki mwaka 1977.
mkuu,ilyabi imenikumbusha mbali,kuna kipind bibi yangu alikuwa ananituka anasema,lyabi lya nyoko
 
nyie mmasema tu,Ubakaji zamani ikuwepo sana tu ,but ulikuwa hauripotiwi,but kwa ss kuna sheria na mchango mkubwa wa vyombo vya habari.lakin wanaume ndo wale wale.so mi naona siku iz rape imepungua
 
Hapana Paka Jimmy. Hili vazi ni la wanyakyusa na linaitwa ILYABI ( say: eilyab'hi). Nimewahi kuona miaka ya late 70's ilikuwa ikitengenezwa kwa magome ya miti. Sikuona inavyovaliwa, lakini iliwekwa na babu yetu kama kumbukumbu. Ingawa sikushuhudia, lakini nyaya yetu , yaani mama yake na babu yangu alivishwa hilo vazi alipofariki mwaka 1977.
Haswaaaa!
Hilo ni Ilyabi , tena origino!
Hapo ni full kiyoyozi tena huko milimani kuna baridi.
Ni vazi la kimila, kwetu lilipote kwenye miaka ya 50's, kutokana na influence ya wamissionari.
Hebu dadavua na huo mwamvuli, hilo lilikuwa vazi la heshima yake.
 
Hilo halijabadilika hata leo, ni wanaume wachache walioenda Mbeya wakarudi bado mabachela!

True.
Nina jamaa yangu alianzia kazi kule miaka ya mwishoni mwa 80 akaoa hukohuko na kuweka makazi ya kudumu kabisa. Saizi anagonga Kinyakyusa utafikiri ni mzaliwa.
Ila siku hizi kuna wachache wanajichafua na mikorogo!
 
True.
Nina jamaa yangu alianzia kazi kule miaka ya mwishoni mwa 80 akaoa hukohuko na kuweka makazi ya kudumu kabisa. Saizi anagonga Kinyakyusa utafikiri ni mzaliwa.
Ila siku hizi kuna wachache wanajichafua na mikorogo!
Asante mkuu!
Siku hizi dada zetu wametambua uzuri wa weusi wa jongoo!
Real natural beuty
 
Back
Top Bottom