ZNM
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 1,219
- 1,281
Jamani, kuna namna huwa nakaa nafikiria juu ya masuala kadhaa bila kupata majibu yake, sasa leo hili limenisumbua na ninaomba great thinkers wa JF mnisaidie majibu yake. Jamani ni kiumbe gani ambacho kinapokufa na kuoza kinatoa harufu nzuri na ya kuvutia kwa watu/binadamu?