johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
- Thread starter
- #21
Nipatie namba za Mnyika, niwape moja ya promo!Wewe mwenyewe huna pakulala
Nipatie namba za Mnyika, niwape moja ya promo!Wewe mwenyewe huna pakulala
Hahahaaaa...... Kwa sasa CCM fursa kibao bwashee.Kasi aliyokuja nayo huenda amenusa harufu yake.
Huyo ni mlinzi pale geti la kijani, kapiga Kambi pale pale.Nipatie namba za Mnyika, niwape moja ya promo!
Lumumba tunalipwa daily tofauti na Ufipa mnachangishana hela ya kula wali mandondo mahakamani!Akilipwa huwa anapata wenge
Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. Wale wanaodijitalize wanachama huko katani wanafanya nini?Hapa Ufipa shughuli zimesimama mwenyekiti ana kesi binafsi mahakamani!
Babati anamiliki ofisi yaani Kibanda cha Mbege!Huyo ni mlinzi pale geti la kijani, kapiga Kambi pale pale.
Ofisi za HQ Ufipa zinafunguliwa jioni wakitoka Simu 2000!Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. Wale wanaodijitalize wanachama huko katani wanafanya nini?
Binafsi napenda sana harakati na mipango ya chama hiki japo si mwanachama wao, ima nawaelewa sana hadi kwenye mavazi yao. Naamini viongozi walio nao ni viongozi kwelikweli.
Anza na CCMNipatie namba za Mnyika, niwape moja ya promo!
Awapi kazi kweliLumumba tunalipwa daily tofauti na Ufipa mnachangishana hela ya kula wali mandondo mahakamani!
Karibu manka ufurahie miaka 60 ya uhuru!Awapi kazi kweli
Hivi wewe babu utakuwa lini?Karibu manka ufurahie miaka 60 ya uhuru!
Hahahaaaa........!Hivi wewe babu utakuwa lini?
Wenzako wanalea wajukuu wewe bado ni mhudumu kwenye shina la chamaHahahaaaa........!
Wahudumu ngazi ya shina CCM wana mishahara mkubwa kupita wa katibu mkuu wa Chadema J J Mnyika!Wenzako wanalea wajukuu wewe bado ni mhudumu kwenye shina la chama
Bahati mbaya hata ofisi hawanaWahudumu ngazi ya shina CCM wana mishahara mkubwa kupita wa katibu mkuu wa Chadema J J Mnyika!
Karibu shina la Makangira msasani ushuhudie maajabu.Bahati mbaya hata ofisi hawana
Hahaha wewe bibiKaribu shina la Makangira msasani ushuhudie maajabu.
Hahahaaaa........ CCM ni hazina!Akili zenu zina sync?View attachment 2013696
Bananga kanunuliwa enzi za Abdul Jumbe?Biashara ya watumwa Ufipa imesimama so akili za makamanda zimevurugwa!
Chongollo hanunui CHAWA!