Ni katika taarifa ya habari ya saa 2 usiku, Meya wa jiji la Dar katoa tamko kuwa kituo cha Mabasi Mikoani na nchi jirani cha Ubungo hakitahama.
Sababu kuu ni ukosefu wa hela. Hela waliyotarajia kuendeleza kituo kipya cha Mbezi zilipelekwa kwenye mradi wa mabasi yaendayo kasi (DART).
Chanzo: ITV
SWALI: Je, jiji kuvunja vibanda na miundo mbinu ya Ubungo huku wakijua hawana fedha za kukihamisha si dhuluma, au ni ulimbukeni na kukurupuka?
Sababu kuu ni ukosefu wa hela. Hela waliyotarajia kuendeleza kituo kipya cha Mbezi zilipelekwa kwenye mradi wa mabasi yaendayo kasi (DART).
Chanzo: ITV
SWALI: Je, jiji kuvunja vibanda na miundo mbinu ya Ubungo huku wakijua hawana fedha za kukihamisha si dhuluma, au ni ulimbukeni na kukurupuka?