Bond James
Member
- Nov 25, 2010
- 54
- 7
Samahani Wana JF, naomba muuongozo. Kuna kituo cha kuuzia Mafuta pale Victoria (Ali Hassan mwinyi Road) hiki kituo
kinauza mafuta yaan Petrol and Diesel. Lakini siku ya Jumapili kituo hicho kina fungwa na kuwa sehemu ya maubiri,
Hivi kweli sheria na utaratibu wa biashara una ruhusu maubiri kufanyika katika sehemu ambayo ina hatari namna hiyo?
Kumbuka kuwa hiyo sehemu ina weza kutokea milipuko ya moto na pia eneo hilo ni sehemu ya kufanyia service and maintenance
ya magari.
Naomba muongozo
kinauza mafuta yaan Petrol and Diesel. Lakini siku ya Jumapili kituo hicho kina fungwa na kuwa sehemu ya maubiri,
Hivi kweli sheria na utaratibu wa biashara una ruhusu maubiri kufanyika katika sehemu ambayo ina hatari namna hiyo?
Kumbuka kuwa hiyo sehemu ina weza kutokea milipuko ya moto na pia eneo hilo ni sehemu ya kufanyia service and maintenance
ya magari.
Naomba muongozo