Tatizo letu ni kwanini mtu kasoma environmental science apate ajira kama environmental engineer, Robert alexander na mgeta makilas wamesoma environmental science SUA na ARU. Je ni kweli environmental science anaweza kufanya kazi za environmental engineer. Na tangu lini Environmental Science akasajiliwa na bodi ya Maengineer(ERB), na tangu lini sciencist akaruhusiwa kufanya kazi za ujenzi.Kwanini kama wanataka environmental science wasitangaze nafasi kama environmental officer. Nadhani tunakoenda siko kama mtu kasoma environmental science anaajiriwa kama environmental engineer. Nadhani wadau mnaweza kuangalia haya majina kwenye mtandao wamesoma wapi na course gani. Huu usaili umefanywa na utumishi kwa niaba ya Tanzania Building Agency.