Kilimanjaro chasaka ana bei yake hasa kwenye Mahari hulipishwa bei juu kuliko RAIA wa kilimanjaro
Sisi tunazungumzia chakula. Kwani hao wachumba ni chakula?
Kilimanjaro chasaka ana bei yake hasa kwenye Mahari hulipishwa bei juu kuliko RAIA wa kilimanjaro
Mi sielewi hivi wewe ukienda airport huwa unaenda kusubiri ndege au kula na kuongea na wanawake wa kihindi? MTU unaacha kula mihogo ya kuchemsha kwenu ambayo ukila unakuwa umesaidia mkulima mswahili mwenzio unaenda dandia vyakula vya kihindi airport wewe vipi? Ungekula kwenu yasingekukutaNasafiri kwenda Mwanza flight FN 141 kuelekea Mwanza.
Kabla ya kupanda ndege naamua kupata kipasha moto, kahawa na keki, kwa kiswahili safi kabisa.
Namuuliza mhudumu kaunta aliyevaa shati bkuu, tai na kapendeza, muasia.
Cha kushangaza ananiuliza "what sir?"
Nashangaa, narudia tena kwa kiswahili.
Ajabu jamaa anasena"I dont understand sir"
Namuuliza "how did you get here, and where are you from"
Ananijibu "India sir"
Immigration, mtu asiyejua hata lugha ya kiswahili anafanya nini hapo?
Na ana kibali cha kazi au?
Huo si utetezi, katika mitanzania mijizi na wewe umo!
Hahaha ,nilitaka kushangaa,jamaa amenipa kali kweli,hahahaWapi kwingine uliona migahawa ya airport wana bei mbili za raia na wageni ? Iwe kwa dola yen pound euro au shillingi?
Ni kweli,huku Zanzibar mahoteli mengi yalikuwa yameajiri Residents yaani watanzania kwenye posts za Accounts,lakini hotels nyingi zimewatimua kwa wizi na kutokuwa waaminifu kwa kiwango cha kutisha.Mimi sijaajiriwa. Kumbuka hilo.
Nenda kamuulize mwenye mgahawa huo sababu ya kumuweka mgeni, si hapo tu kuna sehemu nyingi sana kuna wageni wanaaminiwa sana kuliko Watanzania.
Huo ni ukweli tusioupenda.
Unadhani hata ukimwambia ataamini? Let him beHa ha ha!
Mkuu ukiperuzi passports zangu in the last 20 yrs uta bloo!
Tumechezea usafiri wa ATC toka enzi za Boeing,Twin Otter na Fokker Friendship F50,
All the same you are a spineless novice!
Sisi tunazungumzia chakula. Kwani hao wachumba ni chakula?
Hapo nyuma nafuatilia ,ulisema Mitanzania ni mijizi without qualification.Mimi sijaajiriwa. Kumbuka hilo.
Nenda kamuulize mwenye mgahawa huo sababu ya kumuweka mgeni, si hapo tu kuna sehemu nyingi sana kuna wageni wanaaminiwa sana kuliko Watanzania.
Huo ni ukweli tusioupenda.
Hapo nyuma nafuatilia ,ulisema Mitanzania ni mijizi without qualification.
Nawe ni litanzania lijizi na usikwepe.
Hata kama hujaajiriwa si ajabu kuna huduma hulipii na kodi unakwepa.
Kawadanganye wasiokufahamu.Mie Mtanganyika niliyeamua kuwa Mkanada, utanzania ulinishinda, Tanzania nnaishi kwa Residence Permit class A. Kodi zote nnalipa na records zote nnaweka to a cent.
Kawadanganye wasiokufahamu.
Unaukana Utanzania na kujitia Mkanada, halafu mwizi uaukana wizi wako na unarudi kukaa na wezi.
Logic iko wapi na unamdanganya nani!
Mwizi mtanzania wewe, ukanada haukuondoi shombo!Umemaliza? heko kwa kunijuwa.
Mitanzania mijizi, ilikuwepo hapo imeiba wee mpaka mwenye mgahawa kaamuwa aweke mdosi.
Du!
Kweli uzalendo ni shughuli nzito!
Hongera mkanada!
Hauna hoja nakwambia. Uhamiaji siku hz wanafanya kazi za Labour? Fanya utafiti ndo upost hoja zakoMkuu kama una uwezo mdogo wa kufikiri usijiumbue!
Nijibu swali moja tu ili ugutushe ubongo wako.
Mgeni anapoingia nchini kuanzia airport su bandarini, hujui kuwa afisa wa kwanza kabisa kumkagua ni wa Immigration?
Huyo afisa atamuuliza sababu za kuja nchini na muda atakaoishi, na mwenyeji wake.
Kama ni mtalii kuna vibali vyake, na kama ni kufanya kazi immigration watatoa vibali kwa mujibu wa sheria za nchi.
Kwa hiyo hebu gutuka bure tu na ku imagine mtu asiyejua hata kusalimia kiswahili na anafanya kazi mgahawani, a public area.
Hii inaonyesha tu jinsi watu kama wewe mnavyoweza ku support uozo wowote unaoingia nchini, mradi business as usual.
Nasafiri kwenda mwanza flight FN 141 kuelekea Mwanza. Masahihisho.....Nasafiri kwenda Mwanza flight FN 141 kuelekea Mwanza.
Kabla ya kupanda ndege naamua kupata kipasha moto, kahawa na keki, kwa kiswahili safi kabisa.
Namuuliza mhudumu kaunta aliyevaa shati bkuu, tai na kapendeza, muasia.
Cha kushangaza ananiuliza "what sir?"
Nashangaa, narudia tena kwa kiswahili.
Ajabu jamaa anasena"I dont understand sir"
Namuuliza "how did you get here, and where are you from"
Ananijibu "India sir"
Immigration, mtu asiyejua hata lugha ya kiswahili anafanya nini hapo?
Na ana kibali cha kazi au?