Yaani naomba tu unisogelee ukiwa umepaka no 1&10 ntakub......tena kuna mzigo umeingia vipi unahitaji moja kati ya hizo?
Haya mfanya biashara. D&G.UNAUZAJE?
yah, hapo mmenigusa sana, kiukweli napenda sana perfume, hata gal wangu huwa napenda anukie muda wote ila iwe harufu nzuri itakayo nivuti, kuna a lot of manukato, km vl chick for men, hugo boss, president sports, insurrection, pia kwa ss kuna hii blue for men 2, ni nzuri sana na pia sio bei kubwa,
tatizo bei mkuu,hapa dar perfume original zinapatikana jd pharmacy iliyoko walking village masaki,lakini kaulize bei utaruka hadi darini.(bei ya chini laki mbili na ushee).
perfume gani ni nzuri kwa sisi wakaka..
Nakubaliana. Nimekwenda pale dukani kuulizia na nikathibitasha hilo ni jina tu. Mwanzoni yule shop assistance alisema "kuna hii hapa one million" nikatoka dukani haraka.
Pamoja na kuwa perfumes zinaweza kuwa za aina moja, tuseme Paco Rabanne Pour Homme au http://www.perfume.com/issey-miyake/l-eau-d-issey/men-cologne L'Eau d'Issey, zinaweza kuwa kuleta reaction tafauti baina ya mtu na mtu; nikimaanisha kuwa harufu ya asili ya mwili wa mtu ikichanganyika na harufu ya perfume vinatoa reaction tafauti baina ya mtu na mtu, na pengine mnaweza kujiwekea perfume ya aina moja lakini kila mmoja (kwa mbaali) akanukia kivyake. Uchawi zaidi wa perfume unakuja pale wawili (m'mke na m'mume) harufu za perfumes zenu zinapoana.Ni kweli.mume wangu huwa anapaka perfume flan nkiiskia tu basi namtani sana akiwa hayupo huwa napakaa mimi basi napata hisia kama yupo na mimi.
Duh. . . Farkina, ikitokea nimebahatisha perfume anayopaka nikajitokeza akiwa hayupo itakuwaje hapo? Patasomeka sio?
Nikija mimi nimejipaka hiyo utuli kitu mwake siyo maana ukisikia tu unadhani nimume wako!!Ni kweli.mume wangu huwa anapaka perfume flan nkiiskia tu basi namtani sana akiwa hayupo huwa napakaa mimi basi napata hisia kama yupo na mimi.
Perfume mukikutana unaenda unapiga chafya njia nzima nani anajua perfume za wanawake wakiaarabu au wapemba utajuta!!!
mi bebii yangu nikipuliza YU yangu tu...lazima tuchelewe job....just imagine....
Pamoja na kuwa perfumes zinaweza kuwa za aina moja, tuseme Paco Rabanne Pour Homme au http://www.perfume.com/issey-miyake/l-eau-d-issey/men-cologne L'Eau d'Issey, zinaweza kuwa kuleta reaction tafauti baina ya mtu na mtu; nikimaanisha kuwa harufu ya asili ya mwili wa mtu ikichanganyika na harufu ya perfume vinatoa reaction tafauti baina ya mtu na mtu, na pengine mnaweza kujiwekea perfume ya aina moja lakini kila mmoja (kwa mbaali) akanukia kivyake. Uchawi zaidi wa perfume unakuja pale wawili (m'mke na m'mume) harufu za perfumes zenu zinapoana.
Kwa maelezo hayo hapo Calnde Mkuu, hata kama utajiwekea perfume ya mume wa Farkina, inaweza isiwe na harufu ile ile aliyoizowea.
Basi wewe mwizi hujui wako anatumia perfume gani??Ngoja nimuulize anatumia perfume gani.
Basi wewe mwizi hujui wako anatumia perfume gani??
bado hatujaanza mahusiano rasmi. Lol.
bado hatujaanza mahusiano rasmi. Lol.