PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,998
Have 10,000 more likes mkuu. U said it all!
Kweli kizazi chetu ndoa tumeelekeza kwenye mapenzi lakini si kutengeneza familia yenye msimamo na msingi mzuri wa maadili na jamii kwa ujumla, wanawake wanalalamika ooh mara mpenzi wangu anakibamia haniridhishi kabisa haya wanaume nao wanakuja na hayo, hivi kwani kwenye ndoa tunaingia kwenye mashindano ya nani anajua kufanya sex na kwa utalaamu gani? wanawake mnaowaita magogo ndo wanaoolewa na kudumu kwenye ndoa zao, wanaojiona kuwa ni wataalamu wa mambo ndo hao wanachezewa na kuzalishwa ndo maana mtoa maada amewaita mchepuko, tukienda kwa mtazamo huu jamii tunayoijenga itakuwa ya ajabu sana miaka ya baadaye