Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,300
- 6,345
Hatakumuombea mwenzako nijambojemapia.Jambo jema ni kujiombea mwenyewe
Hatakumuombea mwenzako nijambojemapia.Jambo jema ni kujiombea mwenyewe
Basi atumie njia nyingine zilizotolewa humu kuwaenzi mama na bibi yake.Na akipata watoto wa kiume je??
Ahsante kwa ufafanuzi ndugu. Japo kwa mtazamo wangu mtu akishakufa hakuna chochote kinachoendelea kwa upande wake. Hana ufahamu wa chochote kinachoendelea huko ahera au huku duniani hadi siku ya kiama. Hivyo hawezi kuathiri maisha ya ndugu zake walio hai na pia ndugu zake waliobaki hawawezi kuathiri hali yake (ufu wake) aidha kwa kuombewa sana au kutolewa sadaka ili apate thawabu huko aliko na kuondolewa au kupunguziwa makali ya adhabu yake huko ahera. Yeye kama yeye alitakiwa ajisafishie njia yake alipokuwa hai huku duniani na si vinginevyo.ya kikibomoka au kubomolewa kutokana na kupitwa na wakati ndipo amali yake inapoishia hapo, tukiamini kwa miaka hiyo kilipokuwa kinatumika kashapata malipo yakumtosha huku alipo.
kwa wale ambao hawana watoto inabidi wajijengee wenyewe wakiwa hao, na wale wenye watoto wanaokuwa wafanya maasi daily wazazi wao pia watapata sehem ya dhambi za watoto wao (kama hawakuwajibika kuwalea kwenye maadili mazuri). Hili linatupa funzo, tuwalee watoto katika maadili mazuri kwa maana wakijua kufanya wema watatusaidia hata kama tutakuwa tushakufa na tukiwalea vibaya tutawajibika kwa mabaya yao pia.
All in all kuwa responsible na kila tendo ulifanyalo, kuanzia kuwalea wanao, kuishi na jamii yako (majiran na nduguzo), mpaka kazini kwako pia
Kwanza nakupa pole sana.wote waja wa mwenyezi mungu na kwake tutarejea.wakuu heshima kwenu , naomba kuuliza nifanye nini kwaajili mama yangu alieniacha mchanga sana (miezi 3) na bibi yangu alienilea nae alikufa kabla sijawa hata na uwezo wowote, najisikia kuwiwa sana kwaajili yao. nitoe sadaka gani kuonyesha thamani yao
Ukipata watoto wa kike wape majina ya hawa wapendwa wako (mama na bibi). Kwa kufanya hivi utakuwa umewarudisha tena hapa duniani.
Na kadri utakavyowahudumia vizuri hawa mabinti zako ndivyo hivyo hivyo utakavyokuwa unawaenzi mama na bibi yako.
Mbona wanao umewapa majina ya kigeni? Je huo ni ushirikina?hiki ndio kitu nakipinga milele huo ni ushirikina mkuu
Mlevi wa makinikiaUshirikina ki vipi? Mtoto kupewa jina LA bibi/ mama ni ushirikina? Kama ni hivyo utakuwa mlevi Wa dini ww.
Safi sana, El Mexico.Katoe misaada kwa watu wenye huhitaji in their name
Mkuu Mbavu za Mbwa usimlinganishe YESU na mavitu ya ajabu ajabu!Yes, umefafanua vema. Watu wengi wanatumia baadhi ya maneno bila kujua maana yake.
Ushirikina in kumshirikisha Mungu na vitu/viumbe wengine.
Mfano, watu wengi wanasema: Mtume Muhammad (SAW) naomba unisaidie/Yesu naomba unisaidie/mizimu ya kwetu nisaidieni.. Huu ni ushirikina. Anayesaidia,anayeokoa ni Mungu pekee na so mwingine.
Au kusema Yesu/hirizi ni kinga..huu ni ushirikina. Kinga ni Mungu pekee
Makanisa, misikiti, mahekalu, barabara, madaraja, majengo, nyumba, maghorofa, maeneo, viwanja vya ndege, nk yamepewa majina ya wafu. Jiulize kwa nini vitu vipewe majina ya wafuMtu aliyekufa ukurasa wake tayari ulishafungwa tenda mema kwa walio hai ukifa na wewe ukumbukwe kwa wema.
Hakuna kitu kama hiki, mkuu usiendelee kujiriwadha kwa methali za wahenga. Mara baada ya mauti n hukumu.Waombee dua kwa Mungu awasamehe makosa yao
Safi sana, hii ndio mwisho wa yote.Jenga shule, chuo, kituo cha kulelea watoto, kiwanda n.k halafu viite majina yao.
Hata mimi nimemshauri atende wema kwa walio hai ili siku moja wamkumbuke kwa mema yake, hizo facilities zinazoitwa majina ya wa tenda mema.Makanisa, misikiti, mahekalu, barabara, madaraja, majengo, nyumba, maghorofa, maeneo, viwanja vya ndege, nk yamepewa majina ya wafu. Jiulize kwa nini vitu vipewe majina ya wafu
Kwa hiyo ukimpa mtoto wako jina la Yohana Mbatiizaji (John), au mtume Muhammad (SAW), hivi unajua tabia zao zote hawa mitume mpaka kumpa kijana wako jina lao?Idea yako ni nzuri ...ila ss ukimpa mtoto jina la mtu mwingine mfano hvyo jina la bibi au mama wanakua wanatabia sawa na aliyekua na jina hilo...Je unajua tabia zao??? vya kurithi zinazidi
Kwa hiyo ukimpa binti yako jina la Aisha (mke wa mtume) au Mary-Magdalena (mfuasi wa Yesu anaesemekana alikuwa changudoa) utakuwa umewainua mashetani?Utawaambiza mashetani bure. Usithubutu kuchukua ushauri huu