mwisho2016
JF-Expert Member
- Jun 27, 2016
- 724
- 625
nItawapa majina mazuri ninayoyapenda, yanayopendwa, hata liikiitwa watu wanafurahi, sio majina ya watu wema waliopita halafu mnayatumia vibaya, au watoto warithi mizigo ya watu waliopita.Mbona wanao umewapa majina ya kigeni? Je huo ni ushirikina?
Kwa mfano tutegemee mtoto aitwe nyerere afanye yalifanywa na nyerere? asipofanya kama nyerere ndio mnaanza kuroga hapo.
Elimu iwasaidie jamoni