Kitu gani umeshindwa kabisa kuacha

Kitu gani umeshindwa kabisa kuacha

Haaaaa hiyo noma,mi mwenyewe kichwa ngumu ila nikawaza nipo ugenini lazima niwe mpole..nikakaza!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Kamba anakufunga mwenyewe sasa hata kama una kichwa kigumu kama changu hutoboi
 
Uwanja wa nyumbani huu naona kama mnanisema nikitoka kitaa naona pisi hatare tatizo kuzisemesha watu wengi kitaa ndio uwa naenda kulipiza kwenye nyero
😂😂😂😂😂😂😂😂 Ety uwanja wa nyumbani....
Hii nchi ina vijana wa hovyo sana aiseeee 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom