na mimi nimewahi sikia hivyo vivyo, kwamba hata benki hazikuruhusiwa kupark.Hii gari Ina balaa kwa technology ya kizamani ilikuwa imewekwa speed 260km/hr Kwenye dashboard na ilikuwa inasifika kwa mbio. Na Kuna watu walitumia kwenye mashindano ya magari.
Ina mabati magumu kama gari ya jeshi😅Kuna wimbo wa Esir - leo ni leo kuna mstari alikuwa analisifia hili gari je lilikuwa na vitu gani spesho?
Cc [mention]RRONDO [/mention] na watalaam wengine wa magari pamoja na wadau wa mziki wa zamani kushuka 2010
Hii chuma salute sana.Ina mabati magumu kama gari ya jeshi
😅😅😅😅😅😅Hii chuma salute sana.
Enzi hizo mtoto wa kishua 1996-1997 , 504 na 109 zilikuwepo home ila daah niishie hapo....
Usafiri maararufu enzi hizo Arusha-Namanga na Arusha-Karatu kabla ya Noah kutamalaki. Kitu kina speed 260 roho mkononi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado yako machache sokoni,ingawa ni very very expensive.Sasa mkuu bado yapo?
Hebu tudadavulie ufahari wa hizi gari
Hizi gari zipo sana moshi-wazee wanakutamkia (peugeot 404)- forofooo 🤣 🤣 🤣😅😅😅😅😅😅
durability hiyo mzee baba. ndio maana wahenga waliipenda.. nyeusi ngumu maweIna mabati magumu kama gari ya jeshi