Kitu gani kinanisumbua?

oky mkuu unchukua muda gani kufall in love na kuingia kwenye mahusiano?
 
oky mkuu unchukua muda gani kufall in love na kuingia kwenye mahusiano?
Huwa ina vary ķulingana na mwanamke mwenyew kuna ambao nlichukua mda mfupi lakini wachache huwa napita nao stage ya friendship kwanza. Lakini chakushangaza sijawahi fanikiwa kuwa na mwanamke ambae tumeanza kuwa marafiki kwanza.

Ikitokea kumpenda mwanamke ambae ni rafiki yangu huwa simpati kabisa. Nakumbuka kuna mwanamke nlikaa nae takribani miez sita kama rafik yangu na sikua na hisia nae wala hata wazo la kuwa nae.
Later on nikampenda sana lakin nlivoanza kumweleza hisia zangu alikua anakua dilema sana kukubali ombi langu mwisho akasema haiwezekani.

Kati ya hao wanne wa mwisho hatukua marafiki sana mwanzo wala hatukua marafiki wa muda kabisa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…