proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,468
- 1,329
Ndugu zangu poleni kwa msiba wa mpendwa wetu JPM ambaye tumempumzisha leo kwenye nyumba yake ya milele. Nije moja kwa moja kwenye mada.
Hivi ni kitu gani kinakupa nguvu ya kutafuta pesa kwa bidii zote kwa umri uliokua nao? Mimi binafsi kinachonisukuma na kunipa nguvu ni kwamba pesa zinisaidie baada nitakapokuwa sina uwezo wa kufanya kazi.
Lakini pia ili niweze kusaidia wengine wasiojiweza. Binafsi najisikia vibaya ninapoona mtu akiteseka kisa tu hana pesa ya kujikimu. Vipi wewe nini kinakusukuma na kukupa nguvu ya kutafuta pesa kwa nguvu zote?
Hivi ni kitu gani kinakupa nguvu ya kutafuta pesa kwa bidii zote kwa umri uliokua nao? Mimi binafsi kinachonisukuma na kunipa nguvu ni kwamba pesa zinisaidie baada nitakapokuwa sina uwezo wa kufanya kazi.
Lakini pia ili niweze kusaidia wengine wasiojiweza. Binafsi najisikia vibaya ninapoona mtu akiteseka kisa tu hana pesa ya kujikimu. Vipi wewe nini kinakusukuma na kukupa nguvu ya kutafuta pesa kwa nguvu zote?