dj afro fan
Senior Member
- Jan 16, 2017
- 103
- 74
tafadhali soma hili na nisaidie kuelewa kinachotokea kwangu. Mimi kijana wenu wa Kitanzania, nina hizi spiritual chills energy (nguvu za kiroho) ambapo watu wengine wanaweza kuzihisi wakati ambao nitakuwa karibu nao, mtu atasikia kaubaridi mwilini mwake.
Hali hii hupelekea watu wengine kunihusisha na Freemasonry, hujasoma vibaya wananiita freemason wakati mimi sio Freemason.
Baada ya kuona hivo nilianza fanya tafiti Google kuhusu hiz Spiritual chills energy zinauhusiano gani na Freemasonry, nikapata kujua hii inaweza kutokea kwa mwanachama wa Freemason anapofanyiwa mila za viapo ndo anaweza kuziamsha hizi nguvu za spiritual chills (sijui kiswahili chake) hapo ndo nimechanganyikiwa nakuamua kuja kwenu kuomba msaada lakini pia nimeisha enda kwenye Freemason Lodge ya (sitasema) ili nipate kupata habari zaidi kuhusu hili lakini sikufanikiwa kwani lodge siku zote imefungwa na mimi naishi mbali siwez enda kila siku.
Lakini pia cha ajabu zaidi kilichotokea kwangu baada kwenda kwenye hiyo lodge Mara kwa Mara ni hichi kitu kinachoitwa cable tow. nayo hiyo niliifanyia utafit ambapo niligundua hiyo ni kamba isiyoonekana kwa macho ya nyama Ambayo hutumiwa kutambua urefu wa Freemason mwenzako ambaye anaweza kuhitaji msaada.
Kiukweli Nimechanganyikiwa jinsi gani ninaweza kuwa na hiyo cable tow na hizo spiritual chills wakati mimi si freemason. Ninahitaji msaada ili niweze kuwa na uwezo wa kujisaidia nafsi yangu. Asante.
Hali hii hupelekea watu wengine kunihusisha na Freemasonry, hujasoma vibaya wananiita freemason wakati mimi sio Freemason.
Baada ya kuona hivo nilianza fanya tafiti Google kuhusu hiz Spiritual chills energy zinauhusiano gani na Freemasonry, nikapata kujua hii inaweza kutokea kwa mwanachama wa Freemason anapofanyiwa mila za viapo ndo anaweza kuziamsha hizi nguvu za spiritual chills (sijui kiswahili chake) hapo ndo nimechanganyikiwa nakuamua kuja kwenu kuomba msaada lakini pia nimeisha enda kwenye Freemason Lodge ya (sitasema) ili nipate kupata habari zaidi kuhusu hili lakini sikufanikiwa kwani lodge siku zote imefungwa na mimi naishi mbali siwez enda kila siku.
Lakini pia cha ajabu zaidi kilichotokea kwangu baada kwenda kwenye hiyo lodge Mara kwa Mara ni hichi kitu kinachoitwa cable tow. nayo hiyo niliifanyia utafit ambapo niligundua hiyo ni kamba isiyoonekana kwa macho ya nyama Ambayo hutumiwa kutambua urefu wa Freemason mwenzako ambaye anaweza kuhitaji msaada.
Kiukweli Nimechanganyikiwa jinsi gani ninaweza kuwa na hiyo cable tow na hizo spiritual chills wakati mimi si freemason. Ninahitaji msaada ili niweze kuwa na uwezo wa kujisaidia nafsi yangu. Asante.