Nilikuwa naombwa sana vocha nikasajili sim card mpya kwa id yangu, nilikuwa na mtu mtandao X wa simu ikawekwa kila kitu free sms, calls na Mb siku tumeachana nikapiga simu nimeibiwa simu ile sim card ikafungwa hasahau hicho kitendo mpaka leo
mama akoI swear next time we on bed it will be your ass. Am done fvcking your pussy bitch.
Huwezi kua mama angu utaendelea kua demu wangu wa nje tu. Pumbavu.mama ako
Leseni ya gari aliandika kwa jina la huyo mwanamke so hakuchua na uwezo wa kuchukua alikuwa Hana.innocent dependent, vipi! rafiki yako alipokonya gari?
dah!! Uliingia form 2 ukiwa na miaka mingapi mkuu maana mimi nilikuwa na 13 hata k siijuiMimi nilifikiri yeye ana akili maana ndiyo anavyoonekana, smart kimavazi, mzuri anavaa miwani (na enzi zile mtu ukivaa miwani unaonekana una akili kumbe kipofu) basi nikamwambia usipofaulu form two tutaachana.
Ilikua bet ya kibwege, si akafeli bwana. Sasa nashangaa mbona mubebi hatuonani wiki mbili mfululizo rafiki yake akaniambia kafeli na kasema ulisema hutaki kumuona akifeli.
Nikamsaka, nikampata. Nikaanza kumwambia kua sikumaanisha nilivyoongea vile ilikua ni masikhara tu nisamehe. Akajibu nimekusamehe ila sasa hivi natoka na yule rafiki yako mwenye kichwa kikubwa.
Nikasema 'Duuuh wiki mbili na mpenzi umepata?' Nikamwambia 'Basi sawa ulisema utanipa hiyo bikra baada ya pepa la form two basi nipe tu hiyo bikra endelea na jamaa' akajibu 'Bikra yenyewe nishampa rafiki yako'
Ilikua si mchezo...
Mimi nilifikiri yeye ana akili maana ndiyo anavyoonekana, smart kimavazi, mzuri anavaa miwani (na enzi zile mtu ukivaa miwani unaonekana una akili kumbe kipofu) basi nikamwambia usipofaulu form two tutaachana.
Ilikua bet ya kibwege, si akafeli bwana. Sasa nashangaa mbona mubebi hatuonani wiki mbili mfululizo rafiki yake akaniambia kafeli na kasema ulisema hutaki kumuona akifeli.
Nikamsaka, nikampata. Nikaanza kumwambia kua sikumaanisha nilivyoongea vile ilikua ni masikhara tu nisamehe. Akajibu nimekusamehe ila sasa hivi natoka na yule rafiki yako mwenye kichwa kikubwa.
Nikasema 'Duuuh wiki mbili na mpenzi umepata?' Nikamwambia 'Basi sawa ulisema utanipa hiyo bikra baada ya pepa la form two basi nipe tu hiyo bikra endelea na jamaa' akajibu 'Bikra yenyewe nishampa rafiki yako'
Ilikua si mchezo...
Hahaah huu kweli ujingaKumwambia manzi wangu kwamba siwezi kuishi bira yeye.! Ule ujinga hata sijui niliotoa wapi?