Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 34,059
- 79,413
Hamjambo!
Moja ya mambo ambayo Wanaume tumefanikiwa kuwarubuni na kuwashawishi wanawake ni ile dhana ya kusema hatuwaelewi wanawake wanataka nini. Na hatuwajui wanawake. Ila kimsingi hiyo ni trick tuu.
Wanaume wengi tunajua wanawake wanataka nini. Na tunawaelewa vyema kabisa kuliko hata wao wanavyojielewa.
Isipokuwa ni ujanja ujanja wetu wa kujifanya hatuwaelewi kusudi kulinda maslahi yetu yanayotokana na uzembe wetu, lawama zetu kwao, na maamuzi yetu ya kijinga ambayo tunayafanyaga kwa makusudi.
Hakuna mwanaume asiyejua mwanamke anataka nini.
Hakuna mwanaume anayedanganywa na mwanamke. Huyo mwanaume hayupo. Ila wengi wanazugaga.
Hakuna mwanaume ambaye hajui mwanamke asiyempenda.
Hakuna mwanaume ambaye hajui kuoa single mother ni mtego. Na wote tunajua kuwa Single mother hawezi kukupenda kuliko alivyompenda Baba mtoto wake, na anavyompenda mtoto wake. Wanaume wote tunajua hayo yote.
Hakuna mwanaume asiyejua kuwa huwezi kuununua upendo wa mwanamke kwa pesa. Hakuna na hayupo! Tunaponunua wanawake na kuwafanya wawe wetu ni kwaajili ya tamaa zetu za Mwili tuu. Akilini tunajua huyu mwanamke amefata tuu pesa. Na anampenda mshikaji wa zamani kuliko mimi. Tunajua yote.
Hata kusema Mwanamke ana akili kuliko mwanaume hizo ni Trick tuu. Mwanamke hawezi kuwa na akili kuliko mwanaume dunia iende irudi. Tunajua hivyo ila tunasema kwa maslahi yetu.
Kifupi ni kuwa hakuna kiumbe kinachoeleweka kama Mwanamke. Kwa sababu kiumbe chochote kinachotumia mihemko/ hisia kinaeleweka tofauti na kiumbe kinachotumia AKILI.
Kumekucha!
Moja ya mambo ambayo Wanaume tumefanikiwa kuwarubuni na kuwashawishi wanawake ni ile dhana ya kusema hatuwaelewi wanawake wanataka nini. Na hatuwajui wanawake. Ila kimsingi hiyo ni trick tuu.
Wanaume wengi tunajua wanawake wanataka nini. Na tunawaelewa vyema kabisa kuliko hata wao wanavyojielewa.
Isipokuwa ni ujanja ujanja wetu wa kujifanya hatuwaelewi kusudi kulinda maslahi yetu yanayotokana na uzembe wetu, lawama zetu kwao, na maamuzi yetu ya kijinga ambayo tunayafanyaga kwa makusudi.
Hakuna mwanaume asiyejua mwanamke anataka nini.
Hakuna mwanaume anayedanganywa na mwanamke. Huyo mwanaume hayupo. Ila wengi wanazugaga.
Hakuna mwanaume ambaye hajui mwanamke asiyempenda.
Hakuna mwanaume ambaye hajui kuoa single mother ni mtego. Na wote tunajua kuwa Single mother hawezi kukupenda kuliko alivyompenda Baba mtoto wake, na anavyompenda mtoto wake. Wanaume wote tunajua hayo yote.
Hakuna mwanaume asiyejua kuwa huwezi kuununua upendo wa mwanamke kwa pesa. Hakuna na hayupo! Tunaponunua wanawake na kuwafanya wawe wetu ni kwaajili ya tamaa zetu za Mwili tuu. Akilini tunajua huyu mwanamke amefata tuu pesa. Na anampenda mshikaji wa zamani kuliko mimi. Tunajua yote.
Hata kusema Mwanamke ana akili kuliko mwanaume hizo ni Trick tuu. Mwanamke hawezi kuwa na akili kuliko mwanaume dunia iende irudi. Tunajua hivyo ila tunasema kwa maslahi yetu.
Kifupi ni kuwa hakuna kiumbe kinachoeleweka kama Mwanamke. Kwa sababu kiumbe chochote kinachotumia mihemko/ hisia kinaeleweka tofauti na kiumbe kinachotumia AKILI.
Kumekucha!