Sheriff Rango
Member
- Jul 29, 2018
- 64
- 105
Wakuu habari na poleni na majukumu , nimekuja mbele zenu sababu najua ndani ya jukwaa hili siwezi kosa solution au mawazo positive kuhusiana na changamoto hii ..
Nina mtoto wangu wa kiume ana umri wa miezi miwili , changamoto iliyopo nitokea kitovu chake kikatike ( kianguke ) hakijajirudi katika hali ambayo mimi binafsi na kaka ake vitovu vyetu vipo , yani kitovu chake kimevimba ivi ..
soo wakuu kama kuna mtu anajua dawa au njia ambayo alishawahi tumia kusolve changamoto hii please msaada , mana nataka nimsaidie handsome boy wangu asije shindwa kujiachia na sixpak zake uko baadae ..
Kama kuna changamoto ya uandishi naomb tuvumiliane maana me sio mzuli kwenye kushuka essay ..
Nawasilisha ..
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Nina mtoto wangu wa kiume ana umri wa miezi miwili , changamoto iliyopo nitokea kitovu chake kikatike ( kianguke ) hakijajirudi katika hali ambayo mimi binafsi na kaka ake vitovu vyetu vipo , yani kitovu chake kimevimba ivi ..
soo wakuu kama kuna mtu anajua dawa au njia ambayo alishawahi tumia kusolve changamoto hii please msaada , mana nataka nimsaidie handsome boy wangu asije shindwa kujiachia na sixpak zake uko baadae ..
Kama kuna changamoto ya uandishi naomb tuvumiliane maana me sio mzuli kwenye kushuka essay ..
Nawasilisha ..
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app